Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua mara nyingi watu wanaoana kulingana na wanaokuwa nao karibu ktk shughuli za kila sikuKuna siku Magu alikua anaongea kwny TV akasema mimi nilikua ni Mwl ndio maana nikaoa mwl mwenzangu maana anajua maisha/shida zetu sisi waalimu(Niliona ameongea point mkuu).
dodge
me mbona nimeolewa na mtoto wa waziri wakati baba yangu hata kwa mjumbe wa nyumba 10 tu hajulikaniMtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Miaka 10 ijayo.Wewe unaolewa lini tule pilau?[emoji848][emoji848][emoji848]
me mbona nimeolewa na mtoto wa waziri wakati baba yangu hata kwa mjumbe wa nyumba 10 tu hajulikani
Unajua mara nyingi watu wanaoana kulingana na wanaokuwa nao karibu ktk shughuli za kila siku
Lukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo
Kuna abdulaziz abood wa Moro mbungeHuyo aboud ndie mwenye zile gari za abood?
Kweli kabisaUnajua mara nyingi watu wanaoana kulingana na wanaokuwa nao karibu ktk shughuli za kila siku
Lukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo
alisemaje mkuuNaona umekumbuka maneno yake kanisani wakati ule
Lakini binadamu hubadilika
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ndio keshalipokea mkuu. Kitendo cha yeye na baba wa bwana harusi kusimama na wana wao ni kua ndoa ina baraka za wazazi!!Lukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo
Duh namimi acha nimuoe mtoto wamwalimu maana baba yangu nimwenyekiti wakijiji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh mwalimu anaoana na mwl mwenzie ama mtendaji, mtoto wa mwenyekiti na wa diwani wanaeza oana, mhudumu wa mama ntilie anoana na bodaboda .......na wewe utaoana na unaokutana naoIssue ni mahali pa kukutania mkuu,wakina sie tutakutana nao wapi hao!labda JF unaweza kubahatisha...
Na hiyo familia lazima iwr level yako vilevile maana ujawa na uwezo wa kukutana na familia za kina lukuviKuna familia ukioa unaweza kujuta vizinga vinaanzia kwa mashemeji, mama mkwe, baba mkwe, hadi unaweza kujikuta umechanganyikiwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulishawahi kumuuliza au kujiuliza kwanini mmasai anaweka sime kiunoni mwake?Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
alisemaje mkuu