mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Nilikua naongea in General tu tajiri.
dodge
dodge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Binti ndio huyo amekaa kama anapiga mruzi. Au hapo anawaimbia ngonjera?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nyie waarabu wa Bongo hayo mapanga mnaofunga kiunoni ni ya nini ?
Nimekufuru kwenye nini mkuu?. Kupiga mruzi au kuimba ngonjera ni kubaya mkuu?Katika sura mwanadamu hanaga sehemu, wote tumejikuta kama tulivyo, hatuwezi kuongeza wala kupunguza...umekufuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah ukimbeba mara kwa mara kwenye ile Td42 lazima ageuke kua mwaju ndalafupi.Mimi nipo njiani kumuoa mwajuma ndalandefu!
Uhai wa ndoa utakuwa kwene life support machine akitia maguu tuu bungeni ndoa inazikwaShilole anakwenda mjengoni Uchebe ajiandae
Usipende kuusemea moyo wa mtu mkuu...ni lini amesimama akaelezea hizo hisia za chuki kwa waislamLukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo
Na Shishi akipigiwa simu na waheshimiwa sana Uchebe asiulizeUhai wa ndoa utakuwa kwene life support machine akitia maguu tuu bungeni ndoa inazikwa
😂Hapo kila mzazi anaangalia namna atakavyonufaika kwa ndoa hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka jisweta lililoandikwa TANZANIA kifuani,halafu yule mwamba sijui kala BAN maana muda kidogo simuoni humu.Hapa ukibahatisha mara unakuja kusikia inshu sijui za 7800.
dodge
Mbona kichwa cha bibi harusi kiko wazi?
Wewe unaolewa lini tule pilau?[emoji848][emoji848][emoji848]