Mtoto wa Magige Nyerere afariki katika ajali ya gari Shinyanga

Mtoto wa Magige Nyerere afariki katika ajali ya gari Shinyanga

Bad news.

Hapo juu imetaarifiwa kuwa mtoto wa Makongoro alizikwa ukweni, hii ni taarifa mbaya.

Waambieni hao wajukuu wajitahidi kupunguza mwendo wa magari yao.

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, RIP
Yule Mama Hakimu sio Mchezo na yupo Aggressive sana
 
Kijana wa kiume kuzikwa kwa mama yake ?? Labda mama anajua kijana hakuwa damu ya huko
Nyumba zina siri mkuu
Hii familia ilikuwa na mgogoro kwa miaka mingi kutokana na ulevi wa makongoro uliokuwa wa kupindukia.

Then mama ndio alikuwa ameshikilia usukani wa familia...na ndugu, jamaa, marafiki na viongozi wa serikali waliona bora iwe hivyo.
Pascal Mayalla
 
Wewe utakuwa na laana kutoka kwa wazazi wako. Sio bure kwa nini nimesema hivyo, michango yako wewe yoote imejaa upumbavu na ujinga mtupu.
Kueleza ukweli imekuwa ujinga watanzani hawakufa Uganda ili kumrudisha rafiki wa Nyerere Obote
 
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
Yaani watumwa wa kujipendekeza wa waarabu mnakera! Nendeni mkaishi uarabuni kwa mabwana zenu wakawahasi (castrate) tena kama walivyofanya ktk biashara ya utumwa na muone wanavyotuona waafrika kama nyani! Yaani mtu wa dini yenu akipigwa hata kama aliua mnaona hastahili ila nyie mkiua mkibaka non believers sawa tu.
 
Bila vita vya Kagera ungekuta Tanga ni bandari ya Uganda. Awali ya yote ulikuwa hujazaliwa unaandika vitu usivyojua tuachie sisi tuliokwenda mstari wa mbele.
Mwenzako keshafundishwa ktk madrasa kuwa muislamu yeyote ni malaika na akishambuliwa hata kama yeye ni mchokozi inatakiwa atetewe na wenzake!! Hizi imani hatari sana yaani wao ruksa kuua, kubaka,kuchinja, kuchoma moto nk watu wa dini nyingine!! Tunakumbuka Waarabu Libya na Palestina walikuja kumsaidi shetani mwanaharamu Nduli Dada.
 
Mnapenda sana kucomment vitu vya uongo ili tu mpate sifa na kuonekana mnajua.

Wewe sijui hata kama ulikuwepo vitani, na kama ulikuwepo tuambie ulikuwa kikosi kipi.

Jeshi zima lililokaguliwa at last stage pale Kagera halijafika hata watu elfu 4 hlf unaleta uongo hapa

Watu elfu 20 unafikiri mchezo, hizo lori zilikuwa ngapi?
Shida story za kwenye vijiwe vya kahawa ndo zinawapeleka chaka hawa vijana wengi.

Yet ni hao hao baadae wangekuja kumshutumu Nyerere kama Amin angeachwa hadi Mkoa wa ukawa sehemu ya Uganda. Ni sawa tu na ambavyo Winston Churchill angefanyiwa na Waingereza baadae kama angefata maoni yao wakati wa Vita vya Dunia.Watu wasio na jema hawa.
 
mbona watoto wa wastaafu wengine hawapandi bodaboda? wa nyerere hawana usafiri wa uhakika siriasi? mi shangingi si imejaa pomoni kule kwa kina madelu mchembe.. si wawape limoja?
 
Labda nikuulize maana wewe! Wakati wa vita na Nduli Idd Amin jeshi la wananchi wa Tanzania tulikuwa hatufuki hata 5000 mimi nikiwa mmojawapo wa wanajeshi. Na kule kwenye vita yaani mstari sa mbele hatujufika hata 3000 tulioenda kupigana hadi kumng’oa na kumkimbiza Nduli toka ardhi ya Tanzania na Uganda! Hao watu elfu 20 walitokea wapi? Nijibu hapa maana wewe inaonekana unakunywa pombe aina ya ‘pingu’ ambayo kabla hujaanza kunywa lazima ufunge pingu suruali juu kidogo ya magoti ili kuzuia mzigo!
Mkuu. Japo unabishana na huyo unauedai ni mlevi. Lakini kusema wanajeshi wa TPDF walikuwa hawafiki 5000 ni uongo

Jeshi lilikuwa na askari wapatao 150,000 ambao walikuwa ni raia wa Tanzania pamoja na waganda 2000
 
Back
Top Bottom