Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Nyerere ana watoto kiume Madaraka..Magige( jina mkwe JKN)...Mako....Andrew ( RiP) vitani........Kaka wa Makongoro si ni Madaraka? Huyu maagige ni kizazi ChaJulius au ndugu yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere ana watoto kiume Madaraka..Magige( jina mkwe JKN)...Mako....Andrew ( RiP) vitani........Kaka wa Makongoro si ni Madaraka? Huyu maagige ni kizazi ChaJulius au ndugu yake?
Ni sawa ulichoandikaaaMagige Nyerere na Makongoro Nyerere ni mtu na kaka yake, alafu Magige ni mjukuu wa Julius Nyerere. Akili yangu haielewi chochote hapa, mwongozo tafadhali.
kumbe, mbona umeandika jaji halafu bi, na kwa nn siyo mrs mako, ila jaji/bi/mrs mako hata kama kamshika mr hakutumia busara, mjukuu angepelekwa kuzikwa mwitongo, hz familia za machifu zina mambo yao, na ukijifanya kuyakiuka kwa kuleta usasa wako, inaweza leta shida kubwa sana.Mako kazidiwa mguvu ma Jaji Aisha......ohh bi Aisha
Tag Mako hapoookumbe, mbona umeandika jaji halafu bi, na kwa nn siyo mrs mako, ila jaji/bi/mrs mako hata kama kamshika mr hakutumia busara, mjukuu angepelekwa kuzikwa mwitongo, hz familia za machifu zina mambo yao, na ukijifanya kuyakiuka kwa kuleta usasa wako, inaweza leta shida kubwa sana.
unamaanisha nimtag mako, kwan yupo humu? anatumia id gani? au sijaelewaaa nn?Tag Mako hapooo
Ni aibu sana Dume zima kushikwa akili na mkewe, kwa kifupi hivi habari zimekasirisha sana Wazee na huyo Mwanamke hana busara hata kissoda. Vetting ya Mzee Mchonga pia kumkubali awe mke wa mwananye zilifeli sana sasa anaifedhehesha familia. Hapo ndio utawaelewa Wazee wetu kwamba kuna Makabila usijaribu kuoa utayakanyaga mfano halisi ndio huu Mako.... kayakanyaga hakuskia la Mkuu.kumbe, mbona umeandika jaji halafu bi, na kwa nn siyo mrs mako, ila jaji/bi/mrs mako hata kama kamshika mr hakutumia busara, mjukuu angepelekwa kuzikwa mwitongo, hz familia za machifu zina mambo yao, na ukijifanya kuyakiuka kwa kuleta usasa wako, inaweza leta shida kubwa sana.
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
Ile hata mi nilishangaa..ukoo wa kina nyerere haukuwa tofauti na wachaga.Mzee Nyerere atawapiga mapigo 12, mmmedhalilisha sana WAZANAKI mnaenda kuzika Mjukuu wa Chief UKWENI kwa MAKONGORO kule Arusha?? Haya ni Matusi sana kwa PATRINIAL CLAN...
Poleni kwa msiba mwingine kikubwa tukazike ndugu zetu MWITONGO tuache kuendeshwa na wake zenu badilikeni.
SAsa mbona unamshambulia binti wa watu ambaye amehoji tu unamwacha Sandali Ali aliyezusha hao watu 20k?Labda nikuulize maana wewe ni bwege sana! Wakati wa vita na Nduli Idd Amin jeshi la wananchi wa Tanzania tulikuwa hatufuki hata 5000 mimi nikiwa mmojawapo wa wanajeshi. Na kule kwenye vita yaani mstari sa mbele hatujufika hata 3000 tulioenda kupigana hadi kumng’oa na kumkimbiza Nduli toka ardhi ya Tanzania na Uganda! Hao watu elfu 20 walitokea wapi? Nijibu hapa maana wewe inaonekana unakunywa pombe aina ya ‘pingu’ ambayo kabla hujaanza kunywa lazima ufunge pingu suruali juu kidogo ya magoti ili kuzuia mzigo!
Kufa ni kufa tu.Juzi nilikuwa nawaza hivi vifo vya ukoo wa nyerere..vimefuatana sana. Alianza rosemary, hakukaa sana akaja mwanafamilia mwingine wa nyerere, akafuatana na sofia nyerere,juzi kafa mtoto wa makongoro, leo huyu tena dah!!
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Mtag Gentamycine atupe majibuunamaanisha nimtag mako, kwan yupo humu? anatumia id gani? au sijaelewaaa nn?
basi ngoja nimute tu, nisije poromoshewa mitusi bureMtag Gentamycine atupe majibu
Ushasoma humu,ndiyo ushamjuwaMimi huyo mare
Hemu simjui na wala baba yake simjui kwahiyo kwangu sio habari
Kwani Mnafiki wa Kujitegemea halipwi!!??Nimecheka sababu ya jina la ID yako. Hivi kuna Mnafiki Wa Kulipwa?
Wanataka kummaliza Nyerere mwasisi wa TaifaPolenj sana msiba mzito mrudi mwitongo mkatambike.....kuna shida sehemu ajali ndani week 1 tuuuu......mrudi mizimu yenu
Unamaanisha hata watu wa Gaza karibia elfu 10 wanakufa kwa ujinga wa viongozi wao?Umesahau kuwa Watanzania zaidi ya elfu 20 walirudi kwenye malori kama kuni wakitokea Uganda?