Mtoto wa Magige Nyerere afariki katika ajali ya gari Shinyanga

Mtoto wa Magige Nyerere afariki katika ajali ya gari Shinyanga

Labda nikuulize maana wewe ni bwege sana! Wakati wa vita na Nduli Idd Amin jeshi la wananchi wa Tanzania tulikuwa hatufuki hata 5000 mimi nikiwa mmojawapo wa wanajeshi. Na kule kwenye vita yaani mstari sa mbele hatujufika hata 3000 tulioenda kupigana hadi kumng’oa na kumkimbiza Nduli toka ardhi ya Tanzania na Uganda! Hao watu elfu 20 walitokea wapi? Nijibu hapa maana wewe inaonekana unakunywa pombe aina ya ‘pingu’ ambayo kabla hujaanza kunywa lazima ufunge pingu suruali juu kidogo ya magoti ili kuzuia mzigo!
afadhali umjibu huyu mjinga hajui huu ukurasa wapo ambao tulikwenda mstari wa mbele yeye alikuwa hajazaliwa.ILA Watu wenye haya majina wanajulikana ni watu ambao hawakusoma upeo wao wa elimu ni mdogo sana ktokana na imani ya dini yao.
 
Labda nikuulize maana wewe ni bwege sana! Wakati wa vita na Nduli Idd Amin jeshi la wananchi wa Tanzania tulikuwa hatufuki hata 5000 mimi nikiwa mmojawapo wa wanajeshi. Na kule kwenye vita yaani mstari sa mbele hatujufika hata 3000 tulioenda kupigana hadi kumng’oa na kumkimbiza Nduli toka ardhi ya Tanzania na Uganda! Hao watu elfu 20 walitokea wapi? Nijibu hapa maana wewe inaonekana unakunywa pombe aina ya ‘pingu’ ambayo kabla hujaanza kunywa lazima ufunge pingu suruali juu kidogo ya magoti ili kuzuia mzigo!
Hatari sana.
 
Mzee Nyerere atawapiga mapigo 12, mmmedhalilisha sana WAZANAKI mnaenda kuzika Mjukuu wa Chief UKWENI kwa MAKONGORO kule Arusha?? Haya ni Matusi sana kwa PATRINIAL CLAN...
Poleni kwa msiba mwingine kikubwa tukazike ndugu zetu MWITONGO tuache kuendeshwa na wake zenu badilikeni.
Uzingatiwe una hoja mkuu. Upo sahihi kabsa kama wamezika ukweni tena familia ya Nyerere basi mpaka waya solve kimila hayo mambo
 
Kwahiyo hii
Naayo ni habari?
Obvious Yes,
There are five elements to a good news story: Timeliness (is it happening now), significance (how many does it affect), proximity (is the story happening nearby), prominence, (is it happening to someone well known in society) and human interest (is there an emotional appeal)
 
Mimi huyo marehemu simjui na wala baba yake simjui kwahiyo kwangu sio habari
Obvious Yes,
There are five elements to a good news story: Timeliness (is it happening now), significance (how many does it affect), proximity (is the story happening nearby), prominence, (is it happening to someone well known in society) and human interest (is there an emotional appeal)
 
Chief Nyerere amefariki katika ajali ya boda Bora,alikuwa abiria kwenye boda boda usiku wa kuamkia leo Jumamosi.
Ajali imetokea jana,amefariki leo.
Amefariki hospitali baada ya juhudi za kuokoa maisha yake kushindikana.
Ajali imetokea Shinyanga ambako Chief alikuwa anafanya kazi.
Hii ni fatal crash nyingine kabisa.
Ijumaa iliyopita tumemzika Daudi Nyerere,mtoto wa Makongoro Nyerere na sasa,siku saba baadaye,Ijumaa usiku,Chief amefariki katika ajali ya boda boda.
Magige Nyerere ni kaka yake Makongoro Nyerere.
Kwa hiyo sasa ni wajukuu wa Mwalimu Julius Nyerere wawili ambao wamefariki katika car crash.
Again,hii ni ajali tofauti. Siyo ile ya Daudi Makongoro Nyerere.
Makongoro Nyerere na Magige Nyerere wote ni watoto wa Mwalimu Nyerere.
Kwa hiyo,ilikuwa ni ajali ya piki piki,siyo ajali ya gari.
Kaka wa Makongoro si ni Madaraka? Huyu maagige ni kizazi ChaJulius au ndugu yake?
 
Magige Nyerere na Makongoro Nyerere ni mtu na kaka yake, alafu Magige ni mjukuu wa Julius Nyerere. Akili yangu haielewi chochote hapa, mwongozo tafadhali.
 
Back
Top Bottom