Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 767
- 1,272
Ameshiba Kande -kipolo cha UsikuWewe utakuwa na laana kutoka kwa wazazi wako. Sio bure.kwa nn nimesema hivyo,michango yako wewe yoote imejaa upumbavu na ujinga mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshiba Kande -kipolo cha UsikuWewe utakuwa na laana kutoka kwa wazazi wako. Sio bure.kwa nn nimesema hivyo,michango yako wewe yoote imejaa upumbavu na ujinga mtupu.
Ana msongo wa mawazo mkuu,mpotezee.Labda nikuulize maana wewe ni bwege sana! Wakati wa vita na Nduli Idd Amin jeshi la wananchi wa Tanzania tulikuwa hatufuki hata 5000 mimi nikiwa mmojawapo wa wanajeshi. Na kule kwenye vita yaani mstari sa mbele hatujufika hata 3000 tulioenda kupigana hadi kumng’oa na kumkimbiza Nduli toka ardhi ya Tanzania na Uganda! Hao watu elfu 20 walitokea wapi? Nijibu hapa maana wewe inaonekana unakunywa pombe aina ya ‘pingu’ ambayo kabla hujaanza kunywa lazima ufunge pingu suruali juu kidogo ya magoti ili kuzuia mzigo!
ACHA chuki mkuu,Ina maana mwalimu angetuacha sisi wa mkoa wa Kagera chini ya Idd Amin! Najua utasema Nyerere alimprovoke Amin Sababu ya urafiki wa mwalimu na Obote,lakini sasa Amin alishavamia (Actus reus) na mens Rea ilikuwepo kwamba alitaka kuipora Kagera.Kama mwalimu angemuappease Amin bado Amin angetaka zaidi.Je,kosa la mwalimu liko wai hadi alipiziwe kisasi? Mautii ni mauti na hakuna kisasiNyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
Daah hii familia kila mtu chifu.
Yule alikuwa member mwenzetu umu yukoapi sikuhizi? Amepotea mazima alizuiwa kupost au?
Rip chifu
Nimecheka sababu ya jina la ID yako. Hivi kuna Mnafiki Wa Kulipwa?Ana msongo wa mawazo mkuu,mpotezee.
chief ni jina lake au cheoChief Nyerere amefariki katika ajali ya gari usinu wa kuamkia leo Jumamosi.
Amefariki hospitali baada ya juhudi za kuokoa maisha yake kushindikana.
Ajali imetokea Shinyanga ambako Chief alikuwa anafanya kazi.
Hii ni fatal crash nyingine kabisa.
Ijimaa iliyopita tumemzika Daudi Nyerere,mtoto wa Makongoro Nyerere na sasa,siku saba baadaye,Ijumaa usiku,Chief amefariki katika car crash. Magige Nyerere ni kaka yake Makongoro Nyerere.
Kwa hiyo sasa ni wajukuu wa Mwalimu Julius Nyerere wawili ambao wamefariki katika car crash.
Again,hii ni ajali tofauti. Siyo ile ya Daudi Makongoro Nyerere.
Makongoro Nyerere na Magige Nyerere wote ni watoto wa Mwalimu Nyerere.
We will update this.
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
Genta ni wa huko??!!Tag Gentimycine atuambie mila imekiukwa mjukuu wa chief kuzikwa ukweni ?...
😭😭😭😭😭 Jaman vita ile Bora ingekua ikifikaga maadhimisho yake wasiituonyeshe kumbukumbu ya kilichotokea maana ni maumivu tu wanatups inamaana wazee walikufa kivile.Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
Haswaaaa mzanaki pure....mmoja tag basiGenta ni wa huko??!!
usiku na boda bodaa kweli mchumi rip kamandaChief Nyerere amefariki katika ajali ya boda Bora,alikuwa abiria kwenye boda boda usiku wa kuamkia leo Jumamosi.
Ajali imetokea jana,amefariki leo.
Amefariki hospitali baada ya juhudi za kuokoa maisha yake kushindikana.
Ajali imetokea Shinyanga ambako Chief alikuwa anafanya kazi.
Hii ni fatal crash nyingine kabisa.
Ijumaa iliyopita tumemzika Daudi Nyerere,mtoto wa Makongoro Nyerere na sasa,siku saba baadaye,Ijumaa usiku,Chief amefariki katika ajali ya boda boda.
Magige Nyerere ni kaka yake Makongoro Nyerere.
Kwa hiyo sasa ni wajukuu wa Mwalimu Julius Nyerere wawili ambao wamefariki katika car crash.
Again,hii ni ajali tofauti. Siyo ile ya Daudi Makongoro Nyerere.
Makongoro Nyerere na Magige Nyerere wote ni watoto wa Mwalimu Nyerere.
Kwa hiyo,ilikuwa ni ajali ya piki piki,siyo ajali ya gari.
Atakuwa na chifu huyo wape salamDaah hii familia kila mtu chifu.
Yule alikuwa member mwenzetu umu yukoapi sikuhizi? Amepotea mazima alizuiwa kupost au?
Rip chifu
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?