Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Mmh kwahyo huyo ndo mmeo kumaanisha?? shida yako masihara mengi huelewekiHuyu alikua mzee mwenzangu wa kitambo π watoto wa alfu mbili siyo waoaji.
Rungu iliyogawanyika ndiyo ikoje hiyoMimi mmsai rungu yangu imegawanyika....utamu ni mara mbili ya unaoskia.
Anapenda unene wanguYule mmeo wa kaskazini alikuambia nini mkuu?
Wapo waoaji aiseeHuyu alikua mzee mwenzangu wa kitambo π watoto wa alfu mbili siyo waoaji.
Wako wapi nijipatie mmoja miheπ
NiliyemccWako wapi nijipatie mmoja miheπ
Maelezo yako tu yanakutia hatianiUlijuaje π π π€£
Kwani hujaolewa?Wako wapi nijipatie mmoja miheπ
ni huyo tu?Niliyemcc
Nkamu mnabebishana na bando langu π₯Ήπ₯ΉπΉAm into youπ
Wachawi mshafika πΉπΉπΉSema ulikuwa na minyege yako tu si kingine
Kumbe na mimi ni mchawiπ³Wachawi mshafika πΉπΉπΉ
Yeah,mwenye samaki eyes π
Naomba feni ma, nimejisikia kijoto cha ghafla π€£Yeah,mwenye samaki eyes π
π€£π€£π€£Ni bebi wako kwani mwee?Nkamu mnabebishana na bando langu π₯Ήπ₯ΉπΉ
Wee sio babe wangu, mi niko single humu..!!π€£π€£π€£Ni bebi wako kwani mwee?
Nisamehe bhana,yaan sikomi ...na ndiyo maana wanaibuka na kusema wamenikula wakati hawajanila na wakati huo nataka kuliwa kweli π€¦