Mtoto wa mama mkwe alikuambia nini mpaka ukamkubalia?

Hizo ngonjera ndio ukalainika..???
 
Wee sio babe wangu, mi niko single humu..!!
Nilimaanisha namaliza bando la simu yangu kwa kuwasoma nyie mnavyobebishana bhana 😹😹😹
🀣🀣🀣🀣 Anha,nami pia nipo single humu mpenzi...sema kubebishana sichagui sibagui....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…