TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

Kalpana

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
32,603
Reaction score
62,269
Mtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao.

Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa.

Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…