TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

Mtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao. Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa. Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
View attachment 2334563
Shida ni kuelimishwa kuogelea.!
Unajua kabisa Kuna na kimeandikwa pembeni ama hawakuandika wewe unajirusha spidi ya faru.!
 
tujitahidi angalau kupeleka watoto kwenye madarasa kujifunza hivi vitu vidogo vidogo kama kuogelea, boxing, karate nk, madarasa ya language tofauti tofauti nk. Vinasaidia angalau kuwajenga na kulingana na dunia ya sasa.
Shida ni kuelimishwa kuogelea.!
Unajua kabisa Kuna na kimeandikwa pembeni ama hawakuandika wewe unajirusha spidi ya faru.!
Huyu ka-dive kwenye shallow side. Hii ni ajali hata ujue kuogelea inaweza kukukuta.
 
Hivi vifo vya hivi vimekuwa vingi

Going too soon, Rest well mjukuu.
1101978067_univ_lsr_xl.jpg
 
tujitahidi angalau kupeleka watoto kwenye madarasa kujifunza hivi vitu vidogo vidogo kama kuogelea, boxing, karate nk, madarasa ya language tofauti tofauti nk. Vinasaidia angalau kuwajenga na kulingana na dunia ya sasa.
Hakuna asiyependa hayo tatizo usawa umekaba sana..plus tozo ndio kabisa hali tete.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kama ukuta mrefu , haina shida . mtoto anafikaje juu ?
Unajua utundu wa watoto mkuu..? Watoto wanapanda wanaingia hadi juu ya dari na mzazi hujui, ni Mungu tu anawalinda... Zamani utotoni me na wadogo zangu tumepanda sana darini na miaka hiyo wiring za umeme zilikua nje nje ni Mungu tu... Kwahio ukiweka electric fance uwe unawasha usiku watoto wakiingia ndani na uwaambie kabisa ina ua maana anaweza kutoroka usiku aruke ukuta aende kidimbwi akidhan electric fance ni urembo
 
Hakuna asiyependa hayo tatizo usawa umekaba sana..plus tozo ndio kabisa hali tete.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Kuna wakati mkuu inabidi uwe mbishi tu na kukomaa hakuna namna, vinginevyo unawafanya wanao waje kuwa wasindikizaji tu, Unakomaa mwanao anasoma IST pale mpaka watu wanashangaa wewe ni nani kumbe kajamaa tu kameamua kukaza kanakaa zake Buza huko.
 
Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....

Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....

Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Hizo electrical fence ni ulimbukeni tu wa wabongo! Wapo matajiri kibao hawana huo ujinga hasan nchi za watu wanaojielewa!
 
Unajua utundu wa watoto mkuu..? Watoto wanapanda wanaingia hadi juu ya dari na mzazi hujui, ni Mungu tu anawalinda... Zamani utotoni me na wadogo zangu tumepanda sana darini na miaka hiyo wiring za umeme zilikua nje nje ni Mungu tu... Kwahio ukiweka electric fance uwe unawasha usiku watoto wakiingia ndani na uwaambie kabisa ina ua maana anaweza kutoroka usiku aruke ukuta aende kidimbwi akidhan electric fance ni urembo
Ukishasema ututundu moja kwa moja ni malezi ya mzazi kwa mtoto. Nyumba ngapi zina Electric fance na umesikia vifo vingapi vimetokana na hiyo kitu ? Sio una mlea mtoto kama yai, mlee mtoto katika makuzi ya usikivu, sio mtoto una muambia hiki anafanya hiki. Ilo ni tatizo la wazazi wa digital
 
Tupo pamoja kwenye hili Rick....

Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..

Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
Kwani kifo huwa kinakosa sababu?
Kikija kimekuja tu
 
Back
Top Bottom