t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Ukuta unatakiwa kuanzia tofali 9 hadi 10 , ili anaye zifikia zile wire awe kweli ana nia ya kuingia ndani .Urefu wa ukuta unatakiwa kuwaje? Maana fence nyingi ni tofali 8 kutoka kwenye msingi
Sio ukuta unawafikia wapita njia mabegani ,unaweka umeme wakati mtu anaweza akajigonga kwa bahati mbaya na kugusa deadly current.