TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

Pole wafiwa, tho kuna vitu nyumbani sio lazima.

Kwa wenye pesa ni kuzuri ila sometimes sio salama.
Kuna nyumba nilienda wiki mbili zilizopita, ofcause ni sehem matajiri wanapo ishi, kule hata boda boda kukutana nae ni nadra.

Nikiwa nimekaa nacheki yale mazingira, nikayatamani ila nikajiuliza haya maua yaliyopandwa kwenye ndoo afu ndoo zimeninginizwa kwa juu hivi humu hakuna watoto? Ni kweli alie design mule ni fund, mazingira ya nje yanavutua sana ila lile lindoo gafla lichomoke hukoo juu na mtoto yupo hapo nini kinatokea?

Kweli sehemu ni tulivu humo sauti za ndege ndo zinasikika. Nikajifanya kumuuliza maza house, " mama mbona hapa pako kimya hata wajukuu wa kukupigia kelele hakuna?"
Akanijibu wajukuu wako majuu na wazazi wao, wengine wako uk ndo naenda kuwatembelea, ikiwezekana nitapita canada kijana wangu yupo huko na wajukuu wengine wako huko, nikaguna moyoni mmmmmmh ndo maanaaaa.

Na hilo li swimming pool limo, sasa najiuliza nani analitumia wazee wa vile nao wanaogelea ili iweje?

Enewe pipo havu laifu.
 
hata niwe na pesa nyingi za kuchezea swimming pool siwez kujenga nyumban kwangu... Hata watoto wangu sitak wajue kuogelea, mimi maji yakinifika kwenye magoti nageuza kwa kukimbia

hata niwe na pesa nyingi za kuchezea swimming pool siwez kujenga nyumban kwangu... Hata watoto wangu sitak wajue kuogelea, mimi maji yakinifika kwenye magoti nageuza kwa kukimbia
 
Na sisi wengine tunavyopenda maji, tukikosa kuyachapa kwa muda fulani wa likizo basi akili inakuwa nzito kweli,maji yalituondolea rafiki kwenye kina kirefu sisi tulijua mwenzetu ni mzoefu kwa kuwa alitutambia sana kuwa yuko vizuri loooh kwenda kinani huko kumbe sivyo Kama alivyosema Yan tafuta Sana haonekani majini Hadi kuja kupatikana looooh tayari tushapoteza mtu sooo sad ila still tunapenda maji...
 
Na sisi wengine tunavyopenda maji, tukikosa kuyachapa kwa muda fulani wa likizo basi akili inakuwa nzito kweli,maji yalituondolea rafiki kwenye kina kirefu sisi tulijua mwenzetu ni mzoefu kwa kuwa alitutambia sana kuwa yuko vizuri loooh kwenda kinani huko kumbe sivyo Kama alivyosema Yan tafuta Sana haonekani majini Hadi kuja kupatikana looooh tayari tushapoteza mtu sooo sad ila still tunapenda maji...
Aisee ilikuwaje au na yeye alijibamiza?
 
Kuna sku tulikua kwenye program moja iv iko recoded sasa ikawa tuko hotelin kwenye swiming mm nmekaa kanda ya ziwa zaid ya miaka 13 wenzangu wa kanda ya ziwa wanaogelea kama kambale nkasema ngoja na m nijtose kwenye hayo maji asee amna rangi skuona kumbe nljrushia parefu nkawa nakunywa maji tu wao wananletea kamera wakdhan n mbwembwe zangu nlipambana sana mpka kufka kwenye ukingo wa swimng nkatoka maskion maj yanatoka yamoto puan maji yanashuka inshot sitak mazoe na maji hata ya kwenye ndoo naoga fasta natoka
Umenichekesha sana mkuu eti hata ya ndok naoga fasta natoka
 
Pole wafiwa, tho kuna vitu nyumbani sio lazima.

Kwa wenye pesa ni kuzuri ila sometimes sio salama.
Kuna nyumba nilienda wiki mbili zilizopita, ofcause ni sehem matajiri wanapo ishi, kule hata boda boda kukutana nae ni nadra.

Nikiwa nimekaa nacheki yale mazingira, nikayatamani ila nikajiuliza haya maua yaliyopandwa kwenye ndoo afu ndoo zimeninginizwa kwa juu hivi humu hakuna watoto? Ni kweli alie design mule ni fund, mazingira ya nje yanavutua sana ila lile lindoo gafla lichomoke hukoo juu na mtoto yupo hapo nini kinatokea?

Kweli sehemu ni tulivu humo sauti za ndege ndo zinasikika. Nikajifanya kumuuliza maza house, " mama mbona hapa pako kimya hata wajukuu wa kukupigia kelele hakuna?"
Akanijibu wajukuu wako majuu na wazazi wao, wengine wako uk ndo naenda kuwatembelea, ikiwezekana nitapita canada kijana wangu yupo huko na wajukuu wengine wako huko, nikaguna moyoni mmmmmmh ndo maanaaaa.

Na hilo li swimming pool limo, sasa najiuliza nani analitumia wazee wa vile nao wanaogelea ili iweje?

Enewe pipo havu laifu.
Waislam hawanaga mambo mengi. Sebulen Ni mwendo wa mikeka tu. Na pembezoni mwa nyumba sehemu ya kumuabudu Mungu
 
Aisee ilikuwaje au na yeye alijibamiza?
Si unamkumbuka yule mzenji Ali dive akajibamiza mpaka mwili wake ukapatwa na kupooza

Ulimuona pia yule mrembo wa kikenya
Hko Canada alikuwa anafanya mambo yake live sjui arushe fb insta
Akafa kwenye pool huku yuko live

Kwa kifupi maji hayana adabu

Ova
 
Back
Top Bottom