Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Kweli Inahitaji uangalizi SanaMambo ya kuweka swimming pool nyumban nako inataka uangalizi makini
Anyway poleni wafiwa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Inahitaji uangalizi SanaMambo ya kuweka swimming pool nyumban nako inataka uangalizi makini
Anyway poleni wafiwa
Ova
😂Wanao wakipenda kuogolea utawakataza??hata niwe na pesa nyingi za kuchezea swimming pool siwez kujenga nyumban kwangu... Hata watoto wangu sitak wajue kuogelea, mimi maji yakinifika kwenye magoti nageuza kwa kukimbia
Ni ndugu na wamegawana majimboHuenda ikawa ni ndugu ama wasiwe na undugu, hilo jina Mwambe ni jina tu kule kusini ni sawa na ukienda Kilimanjaro na wingi wa jina la Chuwa au Mosha nk.
Siyo huyu...Mwambe mwingineKweli na juzi hapo alinusurikq kufa na familia yake kwenye ajali ya moto gari iliwaka moto.
Geti hazina umeme. Umeme uko kwenye motor inayolifungua. Geti pia inatakiwa liwe na sensor ikitokea obstacle linasimama.Binafsi am shook
Mageti je?yana current?
Kuna story lilimbana mtt wa bosi mmoja
Ss sielewi
Hadi leo nazeeka sijui kuogelea. Kwetu ilikuwa wakisikia umeogelea kichapo chako hutagusa bahari tena.😂Wanao wakipenda kuogolea utawakataza??
Duh lkn sio vzuri Kwa watoto bila kuwa na uangalizHadi leo nazeeka sijui kuogelea. Kwetu ilikuwa wakisikia umeogelea kichapo chako hutagusa bahari tena.
Watoto inabidi wawe chini ya uangalizi muda wote.Duh lkn sio vzuri Kwa watoto bila kuwa na uangaliz
Poleni Familia Mkuu kumbe ulikuwa unamjua Beatrice Alikuwa rafiki yangu sanaa kabla ya Siku mbili kitokee kufo chake tulichat kwa Whatsup ila ni kama Alikuwa Ananiaga wapendwa tupendaneni tu hakuna kitu kinauma kama kufuta namba ya Mtu Aliekufa Uliekuwa una Uhusiano nae[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Duh.......!
RIP Beatrice
RIP Cecilia
Binafsi sikujua kama Beatrice alifariki ila nimejua kupitia Uzi huuPoleni Familia Mkuu kumbe ulikuwa unamjua Beatrice Alikuwa rafiki yangu sanaa kabla ya Siku mbili kitokee kufo chake tulichat kwa Whatsup ila ni kama Alikuwa Ananiaga wapendwa tupendaneni tu hakuna kitu kinauma kama kufuta namba ya Mtu Aliekufa Uliekuwa una Uhusiano nae[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
sema ninachoshangaa hilo swimming pool si analijua ana anajua kina chake... daah alidive kwa force kubwa sehemu pafupi hatari sanaMtoto alikuwa anasoma St. Mary’s Mazinde Juu, Lushoto. Alikua shule muda wote, form two walifunga shule tarehe 19 August, kwa hiyo alikuwa haja kaa nyumbani hata wiki moja! Wenzake wana rudi shuleni weekend hii! So sad, pole sana Mwambe, mtoto wangu alikuwa anasoma na Cecilia, amesema ni binti mwenye nidhamu, mtiifu, asiye na makuu na uwezo mzuri sana wa masomo!
nimeanza kuwafanya waone kuogelea ogelea ni ushamba, watoto wangu nikienda nao sehem ya michezo hawakimbilii kuogelea kwanza wanasema ni uchafu kilamtu anadumbukia humo😂Wanao wakipenda kuogolea utawakataza??
Swimming pool inahitaji awepo attendant muda woteWatoto inabidi wawe chini ya uangalizi muda wote.
HahahahaKuna sku tulikua kwenye program moja iv iko recoded sasa ikawa tuko hotelin kwenye swiming mm nmekaa kanda ya ziwa zaid ya miaka 13 wenzangu wa kanda ya ziwa wanaogelea kama kambale nkasema ngoja na m nijtose kwenye hayo maji asee amna rangi skuona kumbe nljrushia parefu nkawa nakunywa maji tu wao wananletea kamera wakdhan n mbwembwe zangu nlipambana sana mpka kufka kwenye ukingo wa swimng nkatoka maskion maj yanatoka yamoto puan maji yanashuka inshot sitak mazoe na maji hata ya kwenye ndoo naoga fasta natoka
Katili sana weweHuwezi furahia maisha kwa kupata fedha just simple kugonga gonga meza huku zikipita sheria kichaa za kuwaumiza wengi ukijifariji hutakutana nazo.
Mimi kama mwananchi ninayekwazika na hawa watu wanavyotuongoza hii nchi wala sijasikitika na hii habari.
Katili kushinda Samia na Mchemba?Katili sana wewe
Beatrice ni jina la marehem mke wake? AuBinafsi sikujua kama Beatrice alifariki ila nimejua kupitia Uzi huu
Nilimfahamu Beatrice 1998 wakiwa darasa moja na Cecil lakini kabla hawajaanza mahusiano