NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Amejiandaa kwa uchaguzi kwa kutoa kambuzi. RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wake wa kwanza alikuwa anaitwa Beatrice piaBeatrice ni jina la marehem mke wake? Au
Maana hata mwanae WA kwanza anaitwa beatrice
Mwanangu kila kitu anataka ajue eeeeNi vile umetafsiri utundu wa watoto kama tabia mbaya (lakini utundu wa watoto ni hali ya kutaka kujua kilakitu ktk ukuaji wake) ktk huo utundu/ujuaji ndipo utagundua mwanao ana akili kiasi gani na ana kipaji kipi... Kitaalam na kisayansi mtoto mzuri ni yule ambaye anahangaika kufanya mambo mengi ili ajue uzuri/ubaya wa kitu/jambo husika... Kwa maana hiyo hata umkaripie na kumpiga mtoto utundu au kutaka kujua kilakitu hawezi kuacha, na hii haina maana ana tabia mbaya, ukiona mtoto maisha yake ni upole tu ukienda mjini ukirudi alipokaa amekaa ujue huyo anashida ya kisaikolojia...
Umezaa mwanasiasaMwanangu kila kitu anataka ajue eeee
Mungu atunusuru na mabaya ya haya mateknolojiaTupo pamoja kwenye hili Rick....
Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..
Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
Hii inanikumbusha kuna kipindi fulani home kulikuwa na mtoto mdogo mwenye kutambaa,na sie tulikuwa na desturi ya kuyachemshaga maji kwa ajili ya kunywa,kwenye kutambaa si akaikaribia sufuria ya maji jikoni mzee kuona ivyo akasema kuanzia leo hakuna kuchemsha tena maji,tangu siku iyo hadi leo home hatuchemshagi maji dogo kila nikimuambia anacheka tuNiliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....
Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....
Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Ushauri mzuri, wewe wako anasoma IST? Au wewe hutaki wako wasome IST?Kuna wakati mkuu inabidi uwe mbishi tu na kukomaa hakuna namna, vinginevyo unawafanya wanao waje kuwa wasindikizaji tu, Unakomaa mwanao anasoma IST pale mpaka watu wanashangaa wewe ni nani kumbe kajamaa tu kameamua kukaza kanakaa zake Buza huko.
Sawa poleBinafsi sikujua kama Beatrice alifariki ila nimejua kupitia Uzi huu
Nilimfahamu Beatrice 1998 wakiwa darasa moja na Cecil lakini kabla hawajaanza mahusiano
Masikini tunajipa matunaini Sana !Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....
Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....
Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Usijikinai hivyo, hata wewe unaweza kuwa na hivyo vyote.Pole wafiwa, tho kuna vitu nyumbani sio lazima.
Kwa wenye pesa ni kuzuri ila sometimes sio salama.
Kuna nyumba nilienda wiki mbili zilizopita, ofcause ni sehem matajiri wanapo ishi, kule hata boda boda kukutana nae ni nadra.
Nikiwa nimekaa nacheki yale mazingira, nikayatamani ila nikajiuliza haya maua yaliyopandwa kwenye ndoo afu ndoo zimeninginizwa kwa juu hivi humu hakuna watoto? Ni kweli alie design mule ni fund, mazingira ya nje yanavutua sana ila lile lindoo gafla lichomoke hukoo juu na mtoto yupo hapo nini kinatokea?
Kweli sehemu ni tulivu humo sauti za ndege ndo zinasikika. Nikajifanya kumuuliza maza house, " mama mbona hapa pako kimya hata wajukuu wa kukupigia kelele hakuna?"
Akanijibu wajukuu wako majuu na wazazi wao, wengine wako uk ndo naenda kuwatembelea, ikiwezekana nitapita canada kijana wangu yupo huko na wajukuu wengine wako huko, nikaguna moyoni mmmmmmh ndo maanaaaa.
Na hilo li swimming pool limo, sasa najiuliza nani analitumia wazee wa vile nao wanaogelea ili iweje?
Enewe pipo havu laifu.
huyo ni mtoto mzuri mwenye afya ya akili, na ukiona ameanza kuwa mpole ujue kuna mtu anamtishia au anamfanyia mambo mabaya ukiwa haupo... Watoto utundu ni sehem ya maisha yao.Mwanangu kila kitu anataka ajue eeee
Sasa unataka kulinganisha Security level ya nchi za nje na Tanzania?Hizo electrical fence ni ulimbukeni tu wa wabongo! Wapo matajiri kibao hawana huo ujinga hasan nchi za watu wanaojielewa!
Tafuta helaElectrical fence tembea uone usije fikiria electrical fence kila aliyenayo anahela kuliko wasio nazo! Ujinga tu mda mwingine wa kujimwambafai! Hata jumba la Mengi kule Machame hatukuona electrical fence ila kinyampa mmoja mwenye milioni 50 bank anavimba kwa electrical fence!
Kwani alifariki lini yeye Beatrice?Sawa pole
Kina kifupi, amepiga kichwa! mafanikio ya mtu yana siri ngumu, RIP.Mtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao.
Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa.
Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
View attachment 2334563
Be smart.Tupo pamoja kwenye hili Rick....
Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..
Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
Shetani anapenda kuharibi furaha asipokufa wa kwako atatumbukia wa jirani basi tu VuruguDaaah me kwa kweli swimming pool hata nikiwa na hela vipi sitaweka huu ujingaaa...
Yaah mkuu me mdogo wangu aliungua na maji kwa jiranii...Shetani anapenda kuharibi furaha asipokufa wa kwako atatumbukia wa jirani basi tu Vurugu
Ile huwa inatokea Mara nyingi kwsbb huwa baadhi ya wenye nyumba usiku wanaconnect na geti au inajiconnect bahati mbaya so ukigusa tu geti ili kufungua au kufunga kaburi hilo....Usiombe mvua inyeshe sasaNiliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....
Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....
Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..