TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

Ni vile umetafsiri utundu wa watoto kama tabia mbaya (lakini utundu wa watoto ni hali ya kutaka kujua kilakitu ktk ukuaji wake) ktk huo utundu/ujuaji ndipo utagundua mwanao ana akili kiasi gani na ana kipaji kipi... Kitaalam na kisayansi mtoto mzuri ni yule ambaye anahangaika kufanya mambo mengi ili ajue uzuri/ubaya wa kitu/jambo husika... Kwa maana hiyo hata umkaripie na kumpiga mtoto utundu au kutaka kujua kilakitu hawezi kuacha, na hii haina maana ana tabia mbaya, ukiona mtoto maisha yake ni upole tu ukienda mjini ukirudi alipokaa amekaa ujue huyo anashida ya kisaikolojia...
Mwanangu kila kitu anataka ajue eeee
 
Tupo pamoja kwenye hili Rick....

Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..

Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
Mungu atunusuru na mabaya ya haya mateknolojia
 
Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....

Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....

Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Hii inanikumbusha kuna kipindi fulani home kulikuwa na mtoto mdogo mwenye kutambaa,na sie tulikuwa na desturi ya kuyachemshaga maji kwa ajili ya kunywa,kwenye kutambaa si akaikaribia sufuria ya maji jikoni mzee kuona ivyo akasema kuanzia leo hakuna kuchemsha tena maji,tangu siku iyo hadi leo home hatuchemshagi maji dogo kila nikimuambia anacheka tu
 
Kuna wakati mkuu inabidi uwe mbishi tu na kukomaa hakuna namna, vinginevyo unawafanya wanao waje kuwa wasindikizaji tu, Unakomaa mwanao anasoma IST pale mpaka watu wanashangaa wewe ni nani kumbe kajamaa tu kameamua kukaza kanakaa zake Buza huko.
Ushauri mzuri, wewe wako anasoma IST? Au wewe hutaki wako wasome IST?
 
Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....

Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....

Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Masikini tunajipa matunaini Sana !

Bodaboda zinaua na kuchinja watu wengi kuliko hata hizo swimming pool na Electric fence Ila mnavyoshupalia hapa utadhani huwa hampandi Bodaboda.

Watu wanakufa hata Kwa kupaliwa na Maji cha msingi ni kuwa makini.
 
Pole wafiwa, tho kuna vitu nyumbani sio lazima.

Kwa wenye pesa ni kuzuri ila sometimes sio salama.
Kuna nyumba nilienda wiki mbili zilizopita, ofcause ni sehem matajiri wanapo ishi, kule hata boda boda kukutana nae ni nadra.

Nikiwa nimekaa nacheki yale mazingira, nikayatamani ila nikajiuliza haya maua yaliyopandwa kwenye ndoo afu ndoo zimeninginizwa kwa juu hivi humu hakuna watoto? Ni kweli alie design mule ni fund, mazingira ya nje yanavutua sana ila lile lindoo gafla lichomoke hukoo juu na mtoto yupo hapo nini kinatokea?

Kweli sehemu ni tulivu humo sauti za ndege ndo zinasikika. Nikajifanya kumuuliza maza house, " mama mbona hapa pako kimya hata wajukuu wa kukupigia kelele hakuna?"
Akanijibu wajukuu wako majuu na wazazi wao, wengine wako uk ndo naenda kuwatembelea, ikiwezekana nitapita canada kijana wangu yupo huko na wajukuu wengine wako huko, nikaguna moyoni mmmmmmh ndo maanaaaa.

Na hilo li swimming pool limo, sasa najiuliza nani analitumia wazee wa vile nao wanaogelea ili iweje?

Enewe pipo havu laifu.
Usijikinai hivyo, hata wewe unaweza kuwa na hivyo vyote.
 
Electrical fence tembea uone usije fikiria electrical fence kila aliyenayo anahela kuliko wasio nazo! Ujinga tu mda mwingine wa kujimwambafai! Hata jumba la Mengi kule Machame hatukuona electrical fence ila kinyampa mmoja mwenye milioni 50 bank anavimba kwa electrical fence!
Tafuta hela
 
Mtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao.

Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa.

Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia


View attachment 2334563
Kina kifupi, amepiga kichwa! mafanikio ya mtu yana siri ngumu, RIP.
 
Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....

Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....

Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Ile huwa inatokea Mara nyingi kwsbb huwa baadhi ya wenye nyumba usiku wanaconnect na geti au inajiconnect bahati mbaya so ukigusa tu geti ili kufungua au kufunga kaburi hilo....Usiombe mvua inyeshe sasa
 
Back
Top Bottom