Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaah noma sana kuna yule msanii wa africa sijui 2face nae alizika mwanae kisa swimming poolTupo pamoja kwenye hili Rick....
Kuna Swimming pool na ile kitu inaitwa Electric fance....sijawahi kutamani..
Unaweka kuzuia wezi baadaye inakuulia mtoto wako mwenyewe...
aah ni dbanj kumbe...Ni yule aliyeimba na Ally kiba sijui wimbo gani
Pole kwa familiaMtoto wa mbunge Mwambe afariki dunia jana akiwa anaogelea na wenzanke nyumbani kwao. Alijirusha kwenye kina kifupi cha maji ndani ya bwawa la kuogelea lilipo nyumbani kwao na akagonga kichwa. Watu wazima hawakuwepo nyumbani chanzo cha taarifa kinasema. Poleni kwa familia
View attachment 2334563
Niliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....yaah noma sana kuna yule msanii wa africa sijui 2face nae alizika mwanae kisa swimming pool
Maji hata ya kimo cha kiuno yanauaNiliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....
Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....
Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..
Hapana mkuu, huyu ni Cecil yule ambaye gari ilishika moto anaitwa Geoffrey, wote na Mwambe lakini Cecil Mwambe ni mbunge wa Ndanda na Geoffrey ni mbunge wa Masasi.Kweli na juzi hapo alinusurikq kufa na familia yake kwenye ajali ya moto gari iliwaka moto.
Huenda ikawa ni ndugu ama wasiwe na undugu, hilo jina Mwambe ni jina tu kule kusini ni sawa na ukienda Kilimanjaro na wingi wa jina la Chuwa au Mosha nk.Ni ndg hawa au?
Unachanganya madesa sasa! Hawa ni watu wawili tofauti!Kweli na juzi hapo alinusurikq kufa na familia yake kwenye ajali ya moto gari iliwaka moto.
Watakuja watu waseme Kinana awarudishe Matrafiki kwa sababu ajali zimekuwa nyingi.
Alishika hizo waya? Maana na sisi tunajipanga tuweke kuzuia vibaka ila umenitishaNiliwahi kuhudhuria msiba wa mtoto mmoja alikufa sababu ya hizo Electric fance....
Mimi kuna mambo kwa kweli hata kama sina hela sijawahi kutamani....
Then huwa wanasema maji ya kwenye swimming pool yana nguvu sana....kunywa vikombe au kupoteza maisha ni Rahisi sana..