TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

TANZIA Mtoto wa Mbunge Cecil Mwambe afariki dunia kwenye swimming pool

Daaah me kwa kweli swimming pool hata nikiwa na hela vipi sitaweka huu ujingaaa...
Wewe kama mimi nilishawishiwa sana weka nikasema NO sitaki kuleta maafa kwa family yangu hata kwa wageni maana nimeshuhudia, nimesikia watoto wanapoteza maisha in seconds. Hili nimelikataa kabisa.
 
Hizo electrical fence ni ulimbukeni tu wa wabongo! Wapo matajiri kibao hawana huo ujinga hasan nchi za watu wanaojielewa!
Sababu zinazo fanya sisi Waafrika na nchi maskini tuweke hizo electric fance hazipo kabisa kwa nchi za 'watu wanao jielewa'
 
Sasa kama ni mtoto wa form 2 Mbona ni mkubwa huyo wa kuweza kujisimamia mwenyewe jamani ?!
Au ni mitihani tu ya Allah ??!
 
Back
Top Bottom