Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Me yeyote anayekamia hana akili hata nukta, hakuna Me timamu ashindane na alipotokea na akashinda.Mama mtu yuko wapi?
Inawezekanaje hii? Si mtoto atakuwa analia sana kila siku na kuoza?
Sisi watu wazima, ukiumia leo walau ukae siku kadhaa parudi, na hapo si bikra, ni basi tu mtu anakamia siku hiyo……
"Mama kupenyezewa taarifa hizo lakini hakujali".Daaah
Hii ni laana aisee..
Mama wa mtoto yupo wapi?
Huu uongo, miaka mitatu haiwezekani kumuweka kinyumba hadi awe anaenda kuoga nae? Ina maana huyo mtoto hajaumia tuu au kujeruhiwa hadi atembee akaoge nae? Acheni uongo.Kuna msemo unaosema ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni, tukio la Baba mzazi mkazi wa mtaa wa Mafisa, Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kudaiwa kumuweka unyumba mtoto wake wa kike wa miaka mitatu limewachukiza wengi huku baadhi ya wananchi wakiiomba serikali kuchukua hatua kali zaidi kwa mtuhumiwa huyo ili iwe fundisho kwa wengine
Mtoto huyo wa miaka mitatu ambaye jina lake limehifadhiwa, inaelezwa ameanza kupitia maswaibu angali bado akiwa kinda (mdogo sana) ambapo majirani wanasema taratibu walianza kumuona Baba wa mtoto huyo akioga na mwanaye mara kwa mara na hatimaye kuanza kumfanyia ukatili, huku wakisema licha ya Mama kupenyezewa taarifa hizo lakini hakujali.
Mwenyekiti wa mtaa wa Mafisa, Salum Hamadi amesema tayari wameshamfikisha Baba huyo mikononi mwa Jeshi la Polisi, ambapo Jeshi hilo mkoani Morogoro limekiri kumshikilia Baba wa mtoto huyo kwa uchunguzi zaidi.
Source - JamboTv
Na kweli itakua ushirikina maana kwa akili ya kawaida ni kitu kisichowezekana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya kishirikina.
Hiyo sentensi imeniudhi kwelikweli, ina maana hapo amekua kidogo?!!!!..................., inaelezwa ameanza kupitia maswaibu angali bado akiwa kinda (mdogo sana).........l
Source - JamboTv
Mama mtu yuko wapi?
Inawezekanaje hii? Si mtoto atakuwa analia sana kila siku na kuoza?
Sisi watu wazima, ukiumia leo walau ukae siku kadhaa parudi, na hapo si bikra, ni basi tu mtu anakamia siku hiyo……
Mama mtu yuko wapi?
Inawezekanaje hii? Si mtoto atakuwa analia sana kila siku na kuoza?
Sisi watu wazima, ukiumia leo walau ukae siku kadhaa parudi, na hapo si bikra, ni basi tu mtu anakamia siku hiyo……
Umenena vyema, waganga wakiona wanekupa dawa hufanikiwi wanakupa masharti magumu ili ukamatwe na kufungwaWaganga wanatambuliwa na serikali. Waganga ndio wanaaoshauri watu kubaka ili kufanikiwa kibiashara. Waganga wanakingiwa kifua na wafanya biashara.
Angekuwa mchungaji ama shehe anaagiza mtu abake ingekuwa issue nyingine ila kwa mganga haguswi.
Shenzi kweli!Unadhan wanawake wengi wanazaa ili kulea?ilimradi amezaa tu tu basi yeye hajui hayo
Nadhani huwa kunakuwa na sababu za kishirikina nyuma ya haya matukio.Ukiachana na laana, bado nawaza hivi hawa watu huwaga wanazo akili au na ushirikina sometimes [emoji848][emoji848]... Maana huku kwetu leo zinatembea za chinichini mwenyekiti wa jumuiya kambaka kichaa,, halafu ni mbaba mstaafu anaheshimika karibu na kila mtu na mke wake ni mrembo hatari
Inawezekana maana kila nikifikiria sipati majibuNadhani huwa kunakuwa na sababu za kishirikina nyuma ya haya matukio.
Duh! Hii sasa ndo kubwa zaidiUkiachana na laana, bado nawaza hivi hawa watu huwaga wanazo akili au na ushirikina sometimes 🤔🤔... Maana huku kwetu leo zinatembea za chinichini mwenyekiti wa jumuiya kambaka kichaa,, halafu ni mbaba mstaafu anaheshimika karibu na kila mtu na mke wake ni mrembo hatari
Inafikirisha sana aiseeDuh! Hii sasa ndo kubwa zaidi
Mateso yote yale anzia mimba kweli??.mtoto anapatikana kwa mateso eti au ni baadhi tunateseka??Unadhan wanawake wengi wanazaa ili kulea?ilimradi amezaa tu tu basi yeye hajui hayo