Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hi
Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya
Mzazi ni mpemba na anakili kuwa mwanae ana mashetani walipi jaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwahio uwaliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe kuna ukweli?
Sasa sisi tutajuaje na mpemba hatumjui?
Muulize huyo mpemba
Mpemba kampaAna sema mtoto ana madudu ya kiganga na shangaa kwa mtoto wa miezi miwili kuwa na hayo madudu
Wazoefu wa kulea
Mpemba kampa
Maziwa ya huyo mama ni machungu ndiyo maana mtoto hayataki hakuna cha kunyongwa mtoto hapo.
Sana sana wataoweza kukujibu ni wazoefu wa majini...
Wazoefu wa kulea hawajui hizo habari za wadudu...
[emoji23][emoji23][emoji23] et majini ivi unajua zanzibar kuna sehemu unawaona live unaongea nao kabisa
Labda mtoto alipatikana kwa nji hizo za kiganga ndio maana anasumbuaAna sema mtoto ana madudu ya kiganga na shangaa kwa mtoto wa miezi miwili kuwa na hayo madudu
Dunia haikomi maajabu
Hahaha...hebu acha fiksi...
Sehemu ipi hiyo?
Labda mtoto alipatikana kwa nji hizo za kiganga ndio maana anasumbua
ShindwAaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] dah ivi na wewe una wadudu?
Mtoto wa miezi miwili hawezi kuwa na hayo mdude,labda Kama mtoto amepatikana kwa njia izo au mama yke ndio anayo.