Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Hawa ni wana ndoKwani mtoto alipatikana kishirikina au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni wana ndoKwani mtoto alipatikana kishirikina au
I got it
Ahaha embu soma tena bhna acha uvivu ase 😂😂😂 mbona wa kaskazini nao sikuiz wana wadudu balaaUmeongelea wanawake wa pwani totally au?
Dah ahahah Evelyn Salt kwahiyo leo ndimu imekolea au ipo wastani 😂😂Mtu kama wewe ni kama ndimu kwenye samaki, una ujinga ambao unaburudisha Kwakweli 🤣🤣🤣 napendaga ujinga wako
Leo ndimu wastani ilikolea ile siku ya kushikwa uchawi na ile siku ya kutufanyia utabiri pumbavu zako 🤣🤣🤣🤣Dah ahahah Evelyn Salt kwahiyo leo ndimu imekolea au ipo wastani 😂😂
Ahaha embu soma tena bhna acha uvivu ase
Ww huko Pemba ulienda kufanya nn mpka ukawaona?Kweli mkuu pata pesa nikupe location
Leo ndimu wastani ilikolea ile siku ya kushikwa uchawi na ile siku ya kutufanyia utabiri pumbavu zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ww huko Pemba ulienda kufanya nn mpka ukawaona?
Mwambie mam huyo mwenye mtoto anitafute mimi ili nipate kumtoa huyo jini aka pepo mchafu anaye mzuia mtoto kutokunyonya maziwa ya mama yake.
Hebu kwendraaaa unitabirie mimi nini mi mwenyewe mtabiri[emoji23][emoji23][emoji23] Dah kumbe unanifwatilia ivyooi ahahah af sikuiona tarehe yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Na Waka matatulia akapona?,Nilimsindikiza rafiki yangu sasa ndio tukakutana na kisanga iko yeye alikuwa anashida zake za misukule kumfwata usiku na kumkaba ndio akaelekezwa uko
Una mambo ya kishirikina 🤣🤣🤣Nilimsindikiza rafiki yangu sasa ndio tukakutana na kisanga iko yeye alikuwa anashida zake za misukule kumfwata usiku na kumkaba ndio akaelekezwa uko
Hebu kwendraaaa unitabirie mimi nini mi mwenyewe mtabiri
Na Waka matatulia akapona?,
Una mambo ya kishirikina [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😁😁😁 Mna hatari nyie,mkivunja masherti kunyonywa damu njenjeNdio aliongea na jini uso kwa uso ase mm nilishindwa vumilia nikasema naomba niludi kule standi ya mitumbwi