Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Mtu kama wewe ni kama ndimu kwenye samaki, una ujinga ambao unaburudisha Kwakweli 🤣🤣🤣 napendaga ujinga wako
 
Leo ndimu wastani ilikolea ile siku ya kushikwa uchawi na ile siku ya kutufanyia utabiri pumbavu zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] Dah kumbe unanifwatilia ivyooi ahahah af sikuiona tarehe yako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ww huko Pemba ulienda kufanya nn mpka ukawaona?

Nilimsindikiza rafiki yangu sasa ndio tukakutana na kisanga iko yeye alikuwa anashida zake za misukule kumfwata usiku na kumkaba ndio akaelekezwa uko
 
Mwambie mam huyo mwenye mtoto anitafute mimi ili nipate kumtoa huyo jini aka pepo mchafu anaye mzuia mtoto kutokunyonya maziwa ya mama yake.

[emoji23][emoji23] af uje ulete uzi kwenye kula tunda kimasihala kule sio ww mtu mbad sana
 
Una mambo ya kishirikina [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] hapana mimi ni mkalismatiki kabisa sema nisinge muacha rafiki yangu na mimi nilikuwa nataka kupajua
Zanzibar ningepajuaje sasa [emoji23]
 
Back
Top Bottom