Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uchawi 😃[emoji23][emoji23][emoji23] hapana mimi ni mkalismatiki kabisa sema nisinge muacha rafiki yangu na mimi nilikuwa nataka kupajua
Zanzibar ningepajuaje sasa [emoji23]
Hebu kwendraaaaKuhusu maisha yako kiujumla siku ya bahati na ata mahusihano yako [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] Mna hatari nyie,mkivunja masherti kunyonywa damu njenje
Acha uchawi [emoji2]
Hebu kwendraaaa
Utaki sasa kumuona jini
Shenzy wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Af ww unaonekana mbishi sana utakufa masikini
Lete picha sa sisi tutaamini vipiHi
Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya
Mzazi ni mpemba na anakiri kuwa mwanae ana mashetani, walipojaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwa hiyo waliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe.
Kuna ukweli?
Njoo uchukue juice ya limau na togwa upunguze komwe 😂Shenzy wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Picha ya mtoto akigoma kunyonyaLete picha sa sisi tutaamini vipi
Picha ya wadudu wanaotoka mtoto akitaka kunyonyaPicha ya mtoto akigoma kunyonya
Mm sijawai waona mama mtoto ndio et anawaonaPicha ya wadudu wanaotoka mtoto akitaka kunyonya
😂😂😂 balimi auInawezekana mpemba kapata katoto kana nyota ya ulevi?wajaribu kuanza kukapa beer..mlevi yupo radhi atoe elfu50 alewe,ila sio buku 2 anywe lita ya maziwa.
Huyo maza muongo. Ni yeye ana majini.Mm sijawai waona mama mtoto ndio et anawaona
Dah kesho uje nikupeleke mm nilihisi wamembemenda mtotoHuyo maza muongo. Ni yeye ana majini.
Uone wadudu ushindwe kuita watu waone au upige picha watu waone.
Yaani utufungishe safari kwenda kuona..mwambie wanazengo wameona hii story bila picha ni chaiDah kesho uje nikupeleke mm nilihisi wamembemenda mtoto