Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShindwAaaaaaa
Sasa ndio wachunguze huyo mtoto wamempataje pataje,Kama wakati wa mimba alikuwa anatumia dawa za waganga hayo ndio matokeo.Na amrudishe alipo mtoa ndio ataponaWanasema ni mtoto
Sasa ndio wachunguze huyo mtoto wamempataje pataje,Kama wakati wa mimba alikuwa anatumia dawa za waganga hayo ndio matokeo.Na amrudishe alipo mtoa ndio atapona
Ndio,huyo mganga ndio atakaye mtibuKwahiyo kama walimpata kwa waganga wanludishe kule?
Jibu analo mwenye mtotoDuh sina uwakika na hilo ila nimeshangaa sana
Kama ni kweli ilo ulisemalo nenda kwa huyu dokta atawasaidia kwa uwezo wa MunguHi
Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya
Mzazi ni mpemba na anakili kuwa mwanae ana mashetani walipi jaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwahio uwaliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe kuna ukweli?
Acha kupoteza muda... Chukua mzigo huo wapelekee
View attachment 2531581
Mawili, mama hataki manyonyo yalale au mama anatumia pills
Kama mama anayo inawezekana niliwahi sikia mwenye matatizo hayo kabla ya kunyonyesha anatumia dawa ndo ananyonyesha sina hakikaAna sema mtoto ana madudu ya kiganga na shangaa kwa mtoto wa miezi miwili kuwa na hayo madudu
Hii chai😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] et majini ivi unajua zanzibar kuna sehemu unawaona live unaongea nao kabisa
Hii chai[emoji23][emoji23][emoji23]
Si ulipigie video call umtumie rec-video.Nataka nimpeleke akamuone jini live
Video call hat muona good ni mrefu ase kwaza kule wanawake hawaruhusiwi kwenda kama yupo kwenye siku zakeSi ulipigie video call umtumie rec-video.
Kimasihara part 3.
Ni waislam kindakindakiWampeleke church ishu simple tuu