Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Sasa ndio wachunguze huyo mtoto wamempataje pataje,Kama wakati wa mimba alikuwa anatumia dawa za waganga hayo ndio matokeo.Na amrudishe alipo mtoa ndio atapona

Kwahiyo kama walimpata kwa waganga wanludishe kule?
 
Acha kupoteza muda... Chukua mzigo huo wapelekee
1672502141288.jpg
 
Hi

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya

Mzazi ni mpemba na anakili kuwa mwanae ana mashetani walipi jaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwahio uwaliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe kuna ukweli?
Kama ni kweli ilo ulisemalo nenda kwa huyu dokta atawasaidia kwa uwezo wa Mungu

Hlf usisahau kuleta mrejesho hapa
IMG-20230211-WA0002.jpg
 
Ana sema mtoto ana madudu ya kiganga na shangaa kwa mtoto wa miezi miwili kuwa na hayo madudu
Kama mama anayo inawezekana niliwahi sikia mwenye matatizo hayo kabla ya kunyonyesha anatumia dawa ndo ananyonyesha sina hakika
 
Si ulipigie video call umtumie rec-video.
Kimasihara part 3.
Video call hat muona good ni mrefu ase kwaza kule wanawake hawaruhusiwi kwenda kama yupo kwenye siku zake
 
Back
Top Bottom