Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Hi

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya

Mzazi ni mpemba na anakiri kuwa mwanae ana mashetani, walipojaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwa hiyo waliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe.

Kuna ukweli?
Unatuuliza sisi, huu ni uonevu, story si umeleta wewe?
 
Inawezekana maziwa ya mama mepesi mtoto hashibi kajionea kero bora aache. Au mama kabadilisha mafuta mtoto kajua sio harufu ya mama yake. Au maziwa yamechacha
 
Hi

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya

Mzazi ni mpemba na anakiri kuwa mwanae ana mashetani, walipojaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwa hiyo waliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe.

Kuna ukweli?
Mwanangu alikataa kunyonya akiwa na miezi miwili lakini hakuna shida Yuko poa tu
 
Inawezekana maziwa ya mama mepesi mtoto hashibi kajionea kero bora aache. Au mama kabadilisha mafuta mtoto kajua sio harufu ya mama yake. Au maziwa yamechacha
Sasa hapo lipi jibu sahihi
 
Sasa ndio wachunguze huyo mtoto wamempataje pataje,Kama wakati wa mimba alikuwa anatumia dawa za waganga hayo ndio matokeo.Na amrudishe alipo mtoa ndio atapona
I second this. Mara nyingi shida tunazopata ni matokeo ya kilichofanyika mwanzo. Iwe ni sisi wenyewe ama waliotutangulia. Katika kitabu cha Imani yangu kuna andiko linasema "Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?"

Sasa its either; Mtoto kapigwa zongo ama juju na mama hajui kumswalia mtoto (not sure kama nimepatia), Alimpataje mtoto? Kama alimbeba bwana wa mtu (ombe hiyoko), kama ni mume wake halali je mama ni mtumiaji wa madawa ya shirki. Ukiwa muumini wa uganga na mambo ya mfanano huo ni rahisi sana shetani kupata uhalali kwenye kizazi chako hatimae watoto wanazaliwa na matatizo mbalimbali, ama pia tatizo laweza kuwa kwenye damu nikimaanisha generational penalty from sins done by the past generation.

Kimtaani tunasikiaga watoto ni malaika na hawana dhambi. So kama ni kitu kibaya hata warushiwe vipi wanalindwa. Ukiona mtoto amefikia hapo, kuna tatizo kubwa, na shetani ana uhalali wa kum-own mtoto. Anyways hata niandikeje naweza nisieleweke maana tayari tuko kwenye imani na mienendo ama mafundisho tofauti. Mungu amsaidie aweze kulitatua.
 
I second this. Mara nyingi shida tunazopata ni matokeo ya kilichofanyika mwanzo. Iwe ni sisi wenyewe ama waliotutangulia. Katika kitabu cha Imani yangu kuna andiko linasema "Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?"

Sasa its either; Mtoto kapigwa zongo ama juju na mama hajui kumswalia mtoto (not sure kama nimepatia), Alimpataje mtoto? Kama alimbeba bwana wa mtu (ombe hiyoko), kama ni mume wake halali je mama ni mtumiaji wa madawa ya shirki. Ukiwa muumini wa uganga na mambo ya mfanano huo ni rahisi sana shetani kupata uhalali kwenye kizazi chako hatimae watoto wanazaliwa na matatizo mbalimbali, ama pia tatizo laweza kuwa kwenye damu nikimaanisha generational penalty from sins done by the past generation.

Kimtaani tunasikiaga watoto ni malaika na hawana dhambi. So kama ni kitu kibaya hata warushiwe vipi wanalindwa. Ukiona mtoto amefikia hapo, kuna tatizo kubwa, na shetani ana uhalali wa kum-own mtoto. Anyways hata niandikeje naweza nisieleweke maana tayari tuko kwenye imani na mienendo ama mafundisho tofauti. Mungu amsaidie aweze kulitatua.
🙏🙏 Ubarikiwe,umeeleza vizuri sanaaa

Mwachiluwi Soma hapo 👆👆
 
Back
Top Bottom