Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Sasa ndio wachunguze huyo mtoto wamempataje pataje,Kama wakati wa mimba alikuwa anatumia dawa za waganga hayo ndio matokeo.Na amrudishe alipo mtoa ndio atapona

Kwahiyo kama walimpata kwa waganga wanludishe kule?
 
Acha kupoteza muda... Chukua mzigo huo wapelekee
 
Kama ni kweli ilo ulisemalo nenda kwa huyu dokta atawasaidia kwa uwezo wa Mungu

Hlf usisahau kuleta mrejesho hapa
 
Ana sema mtoto ana madudu ya kiganga na shangaa kwa mtoto wa miezi miwili kuwa na hayo madudu
Kama mama anayo inawezekana niliwahi sikia mwenye matatizo hayo kabla ya kunyonyesha anatumia dawa ndo ananyonyesha sina hakika
 
Si ulipigie video call umtumie rec-video.
Kimasihara part 3.
Video call hat muona good ni mrefu ase kwaza kule wanawake hawaruhusiwi kwenda kama yupo kwenye siku zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…