hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Sababu unalelewa na mama yake nae anakuona ni mtoto wa nyumbani sio baba mwenye nyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Sababu unalelewa na mama yake nae anakuona ni mtoto wa nyumbani sio baba mwenye nyumba
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Kweli Kuna mashetani on earth[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
😳Siku sio nyingi kwa mwenendo huo utamla mpaka huyo mtoto wako wa kufikia wa kike , Kama hiki ulicho kieleza katika maandishi kina ukweli inadhihirisha wazi kuwa nyumba haina utamaduni wa nidhamu hekima na busara, in short hamuheshimiani
Unaingiza laana kwenye nyumba yako,shetani hajawahi kuwa mwema kwa binadamu hata siku moja...Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.
Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.
Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.
Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.
Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?
Au katumwa na mama yake anitege?
Lazima ana mtindio wa ubongo, Sasa baba unatafutiwa Malaya na mwanao? Lazima akuite shemeji huyo mtoto.Dogo anakuchukulia kama washikaji zake tu,jipeleleze kuna mahali unakosea.