Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Boya kweli. Yaani wewe umewekewa ulinzi wa kukuchora uwapo mitaani alafu huoni.

Hapo mama kakuwekea body guard. Ukichepuka tu, taarifa mama anazo sasa nifanye eti unatoka naye tena usiku kuzuga mitaani.

Utaingia kwenye mitego yao kitahisi sana.
Mama anajitafutia maumivu ya moyo
 
Labda mama yake alimwambia huwa mkazi vizuri, sasa kaamua kutafuta evidence kwa kukupa kadem kabichi, ili ajue kama ni ulegevu wa k ya mama yake au la,ili aanze kukamulia limao
Yaani hayo amwambie mwanawe wa kiume?
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?
Hii dunia sijui imekuja kuwaje 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa 4m 6 c yuko shule? Huko mda wa kwenda nae bar anapata wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boss siyo kila kitu ni chai namjua mtu alikuwa anapelekewa pisi kali na shemeji yake mdogo wake dada yake kabisa. Tena mwamba akiwa anagombana na mke wake jamaa ndiyo anamshauri sbemeji yake waondoke
Hiyo n sawa inaingia akilini ila sio kwa mtoto wa kambo mmmmh, yaan amuumize mama yake? Hapana lol
 
Siku akija Baba yak kumrudia Mama yao usishangae
Au michepuko wa Mama yao ukija hawatakuambia Ila watasema ni mjomba
Shirika acha tabia hizi tafuta mke mdogo u Serengeti mbaya
Atamwambia ni "gu-mjomba gwake"?😂😂😂😂😂😂
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?
Tungejua kwanza umri wako huenda umeolewa badala ya kuoa.
Yamkini hata huyo mwanamke ULIYE naye uliunganishwa na huyo kijana
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?
Hili nalo la kupost JF ndugu yangu? Anyways, wahenga wanasema "tusikuhumu kitabu kutokana na muonekano wake."
 
Hiyo n sawa inaingia akilini ila sio kwa mtoto wa kambo mmmmh, yaan amuumize mama yake? Hapana lol
Itakuwa hawamtaki kwenye maisha ya mama yao, hivyo wanataka waachane
 
Kama katumwa akutege usikubali kuacha kutegeka,kuna mitego mingine hata angekua ni yusuph yuko

awamu hii asingeweza kuchomoka,asee mimi ingekua n wewe "nategeka" itajulikana huko huko...
 
Back
Top Bottom