Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
- Thread starter
- #61
Kupasiana at own risk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupasiana at own risk
ApiaMbona umeoa mwenye umri kama wa mama ako.ilikuwaje? maana watoto wake wanaoneonekana ni lika yako
Nakazia [emoji1]Kama kaweza kukutafutia wewe Baba wakambo, basi hata mama yake anaweza mrengesha kwa jibaba na akawa Baba yake mwingine wakambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama anajitafutia maumivu ya moyoBoya kweli. Yaani wewe umewekewa ulinzi wa kukuchora uwapo mitaani alafu huoni.
Hapo mama kakuwekea body guard. Ukichepuka tu, taarifa mama anazo sasa nifanye eti unatoka naye tena usiku kuzuga mitaani.
Utaingia kwenye mitego yao kitahisi sana.
Yaani hayo amwambie mwanawe wa kiume?Labda mama yake alimwambia huwa mkazi vizuri, sasa kaamua kutafuta evidence kwa kukupa kadem kabichi, ili ajue kama ni ulegevu wa k ya mama yake au la,ili aanze kukamulia limao
Hii dunia sijui imekuja kuwaje 🤣🤣🤣🤣🤣Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.
Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.
Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.
Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.
Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?
Au katumwa na mama yake anitege?
Kweli aisee, eti kijana aniunganishie dadake!!!!Kweli Kuna mashetani on earth[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] team both to square lolKama kaweza kukutafutia wewe Baba wakambo, basi hata mama yake anaweza mrengesha kwa jibaba na akawa Baba yake mwingine wakambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo n sawa inaingia akilini ila sio kwa mtoto wa kambo mmmmh, yaan amuumize mama yake? Hapana lolBoss siyo kila kitu ni chai namjua mtu alikuwa anapelekewa pisi kali na shemeji yake mdogo wake dada yake kabisa. Tena mwamba akiwa anagombana na mke wake jamaa ndiyo anamshauri sbemeji yake waondoke
Mwenye pesa huwa hapigi kelele weye!Ungekuwa unaogelea na "bikini" yako tu saa hizi!Ila tuna pesa ambazo wewe mwenye adabu na akili huna, umepigika, choka mbaya
Atamwambia ni "gu-mjomba gwake"?😂😂😂😂😂😂Siku akija Baba yak kumrudia Mama yao usishangae
Au michepuko wa Mama yao ukija hawatakuambia Ila watasema ni mjomba
Shirika acha tabia hizi tafuta mke mdogo u Serengeti mbaya
Tungejua kwanza umri wako huenda umeolewa badala ya kuoa.Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.
Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.
Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.
Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.
Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?
Au katumwa na mama yake anitege?
Unekunywa chai lakini?Tungejua kwanza umri wako huenda umeolewa badala ya kuoa.
Yamkini hata huyo mwanamke ULIYE naye uliunganishwa na huyo kijana
Wanaume wa huko kwenu wanavaa bikini za rangi gani? Pink or red?Mwenye pesa huwa hapigi kelele weye!Ungekuwa unaogelea na "bikini" yako tu saa hizi!
VagrantHii dunia sijui imekuja kuwaje 🤣🤣🤣🤣🤣
Hili nalo la kupost JF ndugu yangu? Anyways, wahenga wanasema "tusikuhumu kitabu kutokana na muonekano wake."Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.
Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.
Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.
Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.
Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?
Au katumwa na mama yake anitege?
Itakuwa hawamtaki kwenye maisha ya mama yao, hivyo wanataka waachaneHiyo n sawa inaingia akilini ila sio kwa mtoto wa kambo mmmmh, yaan amuumize mama yake? Hapana lol