Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Huyo ni mwanao bwana usimwite mtoto wamkewangu Mana yake nn na unashinda alipotokea ,unamanisha unaweza kummega Kama kawaida angekua wakike aise kuku na mayai

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Iko siku huyo dogo atakugongea mkeo hata kama ni mama yake, shauri yako. Huo uhuru wa namna hiyo kati ya ww na mtoto unautoa wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eh!dunia inakwenda kasi jaman!
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?
Ulichoandika hakiendani na kichwa cha habari hata.
 
Bonga Bar,Kinondoni hiyo. Kuna mishikaki ya nundu mujarabu sana hapo. Kwa ubavuni nasikia kuna Lodge 😋
 
Sababu unalelewa na mama yake nae anakuona ni mtoto wa nyumbani sio baba mwenye nyumba
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?
Labda mama yake alimwambia huwa mkazi vizuri, sasa kaamua kutafuta evidence kwa kukupa kadem kabichi, ili ajue kama ni ulegevu wa k ya mama yake au la,ili aanze kukamulia limao
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?

Boya kweli. Yaani wewe umewekewa ulinzi wa kukuchora uwapo mitaani alafu huoni.

Hapo mama kakuwekea body guard. Ukichepuka tu, taarifa mama anazo sasa nifanye eti unatoka naye tena usiku kuzuga mitaani.

Utaingia kwenye mitego yao kitahisi sana.
 
Back
Top Bottom