Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Kutokana na uzoefu wangu ktk hayo mambo ...kuna uwezekano wa asilimia 75 kuwa na yy ameshakakula hako kademu.
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?
Unaona sasa raha ya kuoa single mother. Mtoto wake amekuwa mshikaji wako. Sasa hapo ukianza kupiga hicho kidemu huyo mkeo anageuka kuwa mama mlezi kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha haya jamani loooh
 
Bonga Bar,Kinondoni hiyo. Kuna mishikaki ya nundu mujarabu sana hapo. Kwa ubavuni nasikia kuna Lodge [emoji39]

Hiyo mishikaki ni mitamu sana sijawahi kula sehemu ingine kama hiyo
Nimekumbuka mbali sana
 
Vuta picha kuwa mtoto wako wa kumzaa anaishi na mama wa kambo na zikanoga kweli. Then mwanao anamtafutia bwana huyo mke wako ili amnyandue
 
Unaona sasa raha ya kuoa single mother. Mtoto wake amekuwa mshikaji wako. Sasa hapo ukianza kupiga hicho kidemu huyo mkeo anageuka kuwa mama mlezi kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha haya jamani loooh
Duh
 
Weka mrejesho jinsi ulivyokararua hako kamrembo...
 
Siamini kama ni kweli, na kama ni kweli basi dunia inaenda kwa kasi sana
 
Nimeoa miaka michache nyuma, mwanamke niliyemuoa nimemkuta ana watoto wawili, mmoja akiwa chuo na mwingine kidato cha nne.

Huyu wa kiume, ambaye pia ni mdogo, kwa sasa yuko kidato cha sita. Na kwa kuwa amekuwa ni kijana mkubwa mara kwa mara nitokapo kwa ajili ya matembezi ya mwisho wa juma , basi huomba niongozane naye.

Kwa hiyo tumekuwa na utamaduni wa kutoka kila Jumamosi usiku ambapo mara nyingi henda BONGA BAR kula mishikaki na kinywaji kidogo.

Sasa jana usiku kanionyesha picha kwenye simu yake, kabinti ni kazuri, ananiambia ana uwezo wa kuniweka hapo ili nikararuwe.

Nimemwambia hebu nipe siku mbili za tafakari. Huyu kijana ananipenda kiasi gani hadi kunitafutia mrembo?

Au katumwa na mama yake anitege?

Baba
 
Siku sio nyingi kwa mwenendo huo utamla mpaka huyo mtoto wako wa kufikia wa kike, Kama hiki ulicho kieleza katika maandishi kina ukweli inadhihirisha wazi kuwa nyumba haina utamaduni wa nidhamu hekima na busara, in short hamuheshimiani
 
Back
Top Bottom