Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Siku sio nyingi kwa mwenendo huo utamla mpaka huyo mtoto wako wa kufikia wa kike , Kama hiki ulicho kieleza katika maandishi kina ukweli inadhihirisha wazi kuwa nyumba haina utamaduni wa nidhamu hekima na busara, in short hamuheshimiani
😳
 
Unaingiza laana kwenye nyumba yako,shetani hajawahi kuwa mwema kwa binadamu hata siku moja...
 
Dogo anakuchukulia kama washikaji zake tu,jipeleleze kuna mahali unakosea.
Lazima ana mtindio wa ubongo, Sasa baba unatafutiwa Malaya na mwanao? Lazima akuite shemeji huyo mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…