UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Mbali ya bodaboda, ajali za barabarani kwa Tanzania bado ni tatizo kubwa lisilo na ufumbuzi.Boda boda ndiyo ajira ambayo imeua watu wengi
Imesababisha vilema vingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbali ya bodaboda, ajali za barabarani kwa Tanzania bado ni tatizo kubwa lisilo na ufumbuzi.Boda boda ndiyo ajira ambayo imeua watu wengi
Imesababisha vilema vingi
Yote yako sahihi na Ndiyo sifa za kitu kilicho na laana maana kila ubaya uko kwa kitu hicho kulingana na tafsiri ya mtu ilu mradi tu sifa hiyo ni mbaya.Ndio maana nasema hamueleweki, wengine mnasema bodaboda si kazi ni kitu ambacho watu hufanya kujishikiza tu baada ya kukosa kazi ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi ambaye ni bodaboda.
wengine mnaona bodaboda ni kazi ila isiyo na heshima na yenye mapato kiduchu.
Wewe unasema bodaboda ni kazi ila ina laana kutokana na madhara yake kwenye jamii na kuifananisha na ujambazi na umalaya.
Kama kwa kila mtu kuchagua tafsiri yake basi hata mimi naweza kusema siasa ni laana.Yote yako sahihi na Ndiyo sifa za kitu kilicho na laana maana kila ubaya uko kwa kitu hicho kulingana na tafsiri ya mtu ilu mradi tu sifa hiyo ni mbaya.
Kumbuka nimekwambia tafsiri ya laana inakwenda mbali Sana kumbe hiyo ndiyo tafsiri.