Mkuu huyu LEMA ni form 4 failure ,usafri wa boda boda upo dunia nzima haswa nchi zinazoendelea ,leo anakuja kulisha tongo pori wanachi wanaojitafutia riziki halaliMimi kwa hili natofautiana na Lema aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu LEMA ni form 4 failure ,usafri wa boda boda upo dunia nzima haswa nchi zinazoendelea ,leo anakuja kulisha tongo pori wanachi wanaojitafutia riziki halaliMimi kwa hili natofautiana na Lema aisee.
Hiki chama kimefanikiwa saana kuandaa vijana wajinga aisee hadi wanatia huruma ,ukimuuliza LEMA hawa vijana waliojiajiri anaweza kuwapa ajira sidhani kama anaweza kuwa na jibuNina wasiwasi na akili za wana - CDM yaani mnataka kazi na maisha ya mtoto wa mkubwa yafanane na haya yetu?
Acheni utani basi
Embu tuanzia kwa watoto wa Lissu,Mbowe na Lema mwenyewe na utuletee majibu hapaViongozi wa CCM acheni kuwadanganya vijana wetu kuwa kuendesha bodaboda ni kazi kama kazi nyingine.
Mbona watoto wenu haweendeshi bodaboda?
Kiongozi yupi ambaye mwanaye ni dereva bodaboda?
Kama hakuna basi mfahamu kuwa hiyo siyo kazi ya heshima. Ni laana.
Tangu tupate uhuru inchi inaendeshwa na watoto wa wakulima, wachunga n'gombe, wakimbizi nk , ndio iwe bodaboda?Kiongozi wa hivyo hatakuwa na exposure, hivyo atajiendeshea nchi kama fulani mwisho wa siku tutapata tabu tu na mateso.
Haitakiwi kamwe mtu wa hivyo kutawala taifa.
Wewe hauoni miaka 60+ ya uhuru na hatuna tuendapo. Au unajizima data Mkuu?Tangu tupate uhuru inchi inaendeshwa na watoto wa wakulima, wachunga n'gombe, wakimbizi nk , ndio iwe bodaboda?
Udereva kama wa uber au kuwaendesha viongozi.Uimbaji na uigizaji Kolimba na mwanae kotide, Vick nk, je udereva wa nini maana hata boda ni udereva ola kama ni kuendesha ma v 8 wapo wengi na viongozi wenyewe ni madereva.
Kazi ni kazi ilimradi mkono uwende kinywani.Hamueleweki bodaboda si kazi,ni kazi ila si ya heshima, au ni kazi iliyolaaniwa?
Sasa hapo ndio useme wenyewe hawaipendi hiyo kazi kwa sababu hawana mafunzo ya kuendesha pikipiki hivyo wanapata ajali? Ndio maana nikakwambia kuwa hizo ajali asilimia kubwa husababishwa na wao wenyewe kutokana na aina ya uendeshaji wao.Kwa nini ajali hizi nyingi ziwe kwao bodaboda tu na siyo aina nyingine za udereva? Ok ngoja nilipe sababu maana wewe unakwepa kujichoma kisu labda ni sehemu ya tatizo,
Bodaboda walio wengi hawana mafunzo ya kuendesha bodaboda na hata wengi hawana leseni.
Mwakyembe akiwa waziri wa uchukuzi 2010 ndiyo alipeleka muswada bungeni wa kuhalalisha bodaboda kuwa chombo cha usafiri wa umma.Namlaum Sana vikali caliyeruhusu bodaboda
Kwahiyo kazi ya bodaboda unaichukulia kama ndiyo mafanikio ya ccm ktk kutoa ajira kwa vijana?ukimuuliza LEMA hawa vijana waliojiajiri anaweza kuwapa ajira sidhani kama anaweza kuwa na jibu
Hawa hawawezi kuwaruhusu watoto wao wawe bodaboda kwasbb washakuambia kuwa hiyo ni laana.Embu tuanzia kwa watoto wa Lissu,Mbowe na Lema mwenyewe na utuletee majibu hapa
Hata ukahaba, ukababji, wizi, uporaji poa tu..... mradi wewe unapata riziki?Kazi ni kazi ilimradi mkono uwende kinywani.
Kwahiyo ukahaba na wizi ni kazi ila bodaboda ndio sio kazi?Hata ukahaba, ukababji, wizi, uporaji poa tu..... mradi wewe unapata riziki?
Wewe ndiye hauelewi, hizo ni kazi ila zina laana ndani yake kutokana na madhara kwa jamii yatokanayo na kazi hiyo. Ndiyo maana umeambiwa kama ni riziki tu hata hizo kazi zina riziki nzuri tu ndani yake iko laana kama tumavyoona madhara ya bodaboda.Kwahiyo ukahaba na wizi ni kazi ila bodaboda ndio sio kazi?
Ndio maana nasema hamueleweki, wengine mnasema bodaboda si kazi ni kitu ambacho watu hufanya kujishikiza tu baada ya kukosa kazi ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi ambaye ni bodaboda.Wewe ndiye hauelewi, hizo ni kazi ila zina laana ndani yake kutokana na madhara kwa jamii yatokanayo na kazi hiyo. Ndiyo maana umeambiwa kama ni riziki tu hata hizo kazi zina riziki nzuri tu ndani yake iko laana kama tumavyoona madhara ya bodaboda.
Wengi wao hawakatizi miaka 10Tunazungumzia maisha bora mkuu kuajiriwa na kadhalika, nini sustainability ya Bodaboda, ukiambia elezea miaka 30 ijauo boda boda hao watakuwaje utaelezea vipi?