Ndio maana nasema hamueleweki, wengine mnasema bodaboda si kazi ni kitu ambacho watu hufanya kujishikiza tu baada ya kukosa kazi ndio maana hakuna mtoto wa kiongozi ambaye ni bodaboda.
wengine mnaona bodaboda ni kazi ila isiyo na heshima na yenye mapato kiduchu.
Wewe unasema bodaboda ni kazi ila ina laana kutokana na madhara yake kwenye jamii na kuifananisha na ujambazi na umalaya.