dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,502
- 3,483
Huyu Azizi ambaye ni Mwanasheria, ndiye mshauri wa kisheria wa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Inasemwa kwamba haki sio tu itendeke bali ionekane inatendeka. Kwa hili la Uchaguzi huru na wa haki je?