Zanzibar 2020 Mtoto wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ni Mshauri wa Mgombea Urais wa CCM Dkt. Hussein Mwinyi

Zanzibar 2020 Mtoto wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ni Mshauri wa Mgombea Urais wa CCM Dkt. Hussein Mwinyi

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
1599204873942.png
Aliyevaa koti ni Azizi Hamid Mahmoud, mtoto wa Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud Hamid ambaye ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)

Huyu Azizi ambaye ni Mwanasheria, ndiye mshauri wa kisheria wa Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.

Inasemwa kwamba haki sio tu itendeke bali ionekane inatendeka. Kwa hili la Uchaguzi huru na wa haki je?
 
Kwa kuongezea ni kwamba Kuna wataslam wa kuiba kura ambao 2015 walikuwa kwenye nyumba masaki wakibadilisha kura zilizotoka nchi nzima , wamepitishwa bila kupingwa kwenye ubunge ili waende kusaidia goli la mkono Zanzibar this is from reliable source.
 
Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu

Na tunavyowajua wapemba tusubiri tuone atakavyoamua maalimu seif
 
Amevunja sheria namba ngapi ya mwaka gani? Kwa hoja hizi za ovyo ovyo CDM mnaenda kupokea kipigo cha mbwa mwizi.
 
Kwani ni tatizo?.. Kama jibu lako ni ndiyo.. elezea na kanuni.. hayo ya haki!!!.. hutaki mtoto wake afanye kazi anazotaka kufanya au?..
 
dubu,
Mtoto ana njia zake tofauti na za baba. Kavunja sheria gani hapo?
 
Back
Top Bottom