Mtoto wa Mzee Malecela amtukana Tundu Lissu na kutoa kauli za vitisho na shari dhidi ya mikutano ya CHADEMA

Mtoto wa Mzee Malecela amtukana Tundu Lissu na kutoa kauli za vitisho na shari dhidi ya mikutano ya CHADEMA

Very Interesting!

Huyu ni "Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi". Unamkumbuka Mwenyekiti wa Jumuia hiyo hiyo, huko siku za nyuma? Bulemo, au sijui Bulembo?

Inaonekana kama kuna 'script' maalum huko ndani ya chama inayofuatwa na hawa viongozi ili wainukie zaidi ndani ya chama.

Sasa, baada ya kuiangalia hii video, niliyoyaona mimi, na siyo yale niliyoyasikia, ni jinsi wasikilizaji wa huyu msemaji walivyoitikia yaliyokuwa yakisemwa.
Hawa ni wanaCCM wenyewe, na msemaji, kutokana na alivyokuwa akitumia sauti yake kuamsha mori wa wasikilizaji, lakini matokeo yalikuwa ni tofauti kabisa na mategemeo yake.

Hapa nadhani kuna matumaini. CHADEMA inawabidi wakazane zaidi, matumaini yapo.

..hata mimi nimekiona hicho unachokisema.

..Ccm sasa hivi imejaa watufuta fursa na maslahi binafsi.

..Hata muonekano na haiba zao ni watu wa kutafuta ulaji na sio kutetea haki.

..Kama kimejichokea kabisa.
 
..Mzee Malecela alimpoteza mwanae wa kiume anaitwa Senyagwa.

..Senyagwa alikuwa bright sana, alifariki kwa ajali ya gari akiwa mwanafunzi kitivo cha Uhandisi Udsm.
Hebu ngoja.

Huyo Senyagwa ni mbali na yule mwingine aliyekuwa kiongozi ndani ya chama, na yeye kafia huko huko Dar?
Sikumbuki jina, lakini siyo Senyagwa, kama alikuwa hatumii majina mengi. Na sikumbuki kama kifo chake kilitokana na ajali ya gari, pamoja na kwamba kilikuwa ni kifo cha ghafla vilevile... Ipyana? au kitu kama hicho, jina lake.

Huyu mzee atakuwa kapata pigo sana kufiwa na watoto, tena wakubwa na vifo vya ghafla namna ile!
 
Hebu ngoja.

Huyo Senyagwa ni mbali na yule mwingine aliyekuwa kiongozi ndani ya chama, na yeye kafia huko huko Dar?
Sikumbuki jina, lakini siyo Senyagwa, kama alikuwa hatumii majina mengi. Na sikumbuki kama kifo chake kilitokana na ajali ya gari, pamoja na kwamba kilikuwa ni kifo cha ghafla vilevile... Ipyana? au kitu kama hicho, jina lake.

Huyu mzee atakuwa kapata pigo sana kufiwa na watoto, tena wakubwa na vifo vya ghafla namna ile!

..Senyagwa alikuwa mkubwa hata kwa Dr.Mwele.

..Nadhani watoto wake walikuwa Senyagwa, Dr.Mwele[PhD], Dr.Secelela[MD],...

..Mzee Malecela amepata mapigo mazito ya kufiwa na watoto pamoja na mke.

..Juu ya hayo ni fitina na uonevu wa kisiasa aliofanyiwa.
 
Uyu kada analeslta siasa abazo mama hazitaki siasa za kishamba za kupiga piga kelele, mama kawambia jibuni hoja siyo mipasho
 
Hiyo ndio hazina!!??
Wewe ni hazina!!??
Hazina itakuwa ina maana nyingine tofauti na iliyozoeleka.
EEeeenHeeeee Heeeee!

Mkuu 'resi', nimecheka sana, na bado nacheka hadi machozi yananitoka!

Hizi "Hazina" tulizonazo ndani ya nchi hii, kweli ni vichekesho hasa!
 
..Senyagwa alikuwa mkubwa hata kwa Dr.Mwele.

..Nadhani watoto wake walikuwa Senyagwa, Dr.Mwele[PhD], Dr.Secelela[MD],...

..Mzee Malecela amepata mapigo mazito ya kufiwa na watoto pamoja na mke.

..Juu ya hayo ni fitina na uonevu wa kisiasa aliofanyiwa.
Hili swala la "...fitna na uonevu wa kisiasa aliofanyiwa", naona umelishikilia sana.
Lakini sijui maana unayolenga hasa ni ipi?

Nimeona umegusia habari ya "Jumanne" hapo juu; sasa sijui kama hiyo "fitna" ni nani aliifanya, Mwalimu Nyerere, au kuna mtu mwingine au kundi la watu?

Sioni Mwalimu Nyerere akifanya 'fitna', mbali ya kusema alivyoona yeye, kama alivyosema wakati ule wa akina "Boys to Men", na mambo yakaishia pale.

"Uonevu wa kisiasa"?
 
Hili swala la "...fitna na uonevu wa kisiasa aliofanyiwa", naona umelishikilia sana.
Lakini sijui maana unayolenga hasa ni ipi?

Nimeona umegusia habari ya "Jumanne" hapo juu; sasa sijui kama hiyo "fitna" ni nani aliifanya, Mwalimu Nyerere, au kuna mtu mwingine au kundi la watu?

Sioni Mwalimu Nyerere akifanya 'fitna', mbali ya kusema alivyoona yeye, kama alivyosema wakati ule wa akina "Boys to Men", na mambo yakaishia pale.

"Uonevu wa kisiasa"?

1. Kuzushiwa amebadili dini.

2. Mwalimu Nyerere kumfanya scape goat wa bunge kupitisha azimio kuunda serikali ya Tanganyika.

3. Mwalimu Nyerere kushinikiza kwamba ni lazima jina la Malecela likatwe ktk wagombea Uraisi.

4. Rais Mkapa kumuengua kugombea Uraisi bila sababu za msingi.
 
1. Kuzushiwa amebadili dini.

2. Mwalimu Nyerere kumfanya scape goat wa bunge kupitisha azimio kuunda serikali ya Tanganyika.

3. Mwalimu Nyerere kushinikiza kwamba ni lazima jina la Malecela likatwe ktk wagombea Uraisi.

4. Rais Mkapa kumuengua kugombea Uraisi bila sababu za msingi.
Kuzushiwa amebadili dini. ! Halikuwa uzushi hili, lisingevuja lingetokea
 
MNisiongeze chochote.

Fuatilia ktk video.


CCM ina mtaji wa vijana, viongozi wajinga sana, ndio maana walifikia hatua ya kumteua mgonjwa wa akili kugombea urais, na huyo mgogo ndio maana walijengewa Mirembe hospitali jirani
 
Sisi huku tunasemaga mtoto hakui kwa baba na mama, mtoto akifanya makosa ya kipumbavu kama huyo au yule wa simbachawene tunamlaumu mzazi
Hiki ndicho ninachojaribu kuzuia, baba asilaumiwe kwa makosa ya mtoto wake over 18!. Huyo ni mtu mzima.

Mtoto under 17 akikosa mzazi ndio anawajibika but not above 18!.
Tusichafue watu bure.
P
 
1. Kuzushiwa amebadili dini.

2. Mwalimu Nyerere kumfanya scape goat wa bunge kupitisha azimio kuunda serikali ya Tanganyika.

3. Mwalimu Nyerere kushinikiza kwamba ni lazima jina la Malecela likatwe ktk wagombea Uraisi.

4. Rais Mkapa kumuengua kugombea Uraisi bila sababu za msingi.
Dah!
Mambo kumbe ni mengi?

Sasa sijui kama unao uhakika na baadhi ya hayo kutokuwa kweli, bali yalikuwa ni ya uonevu tu!

Mimi sijui ukweli ulivyo, lakini kwa kiongozi mkubwa kama huyo "kuzushiwa"? yote hayo, bila ya sababu muhimu, inaniwia vigumu kuamini.
 
Duh...!. Mkuu JokaKuu , kwa Tanzania, the age of the majority ni miaka 18!. Mtu akiisha timiza umri wa miaka 18, huyo ni mtu mzima anayejitegemea, huna sababu ya kumtaja baba yake!, huku ni kumchafua bure baba mtu!. What has baba mtu got to do with kauli za mtoto wake ambaye ni mtu mzima anayejitegemea?!.
P

Advocate pascal mayala
 
Hiki ndicho ninachojaribu kuzuia, baba asilaumiwe kwa makosa ya mtoto wake over 18!. Huyo ni mtu mzima.

Mtoto under 17 akikosa mzazi ndio anawajibika but not above 18!.
Tusichafue watu bure.
P

..watoto wana wajibu wa kutonajisi kumbukumbu na rekodi nzuri zilizoachwa na wazazi wao.

..huyu bwana mdogo ajiulize kama he is honoring his father kwa kutoa kauli mbaya'mbaya za shari pamoja na matusi.
 
Duh...!. Mkuu JokaKuu , kwa Tanzania, the age of the majority ni miaka 18!. Mtu akiisha timiza umri wa miaka 18, huyo ni mtu mzima anayejitegemea, huna sababu ya kumtaja baba yake!, huku ni kumchafua bure baba mtu!. What has baba mtu got to do with kauli za mtoto wake ambaye ni mtu mzima anayejitegemea?!.
P


"Mtoto umleavyo---", ni hapo ndipo wazazi wanaingia.
 
Duh...!. Mkuu JokaKuu , kwa Tanzania, the age of the majority ni miaka 18!. Mtu akiisha timiza umri wa miaka 18, huyo ni mtu mzima anayejitegemea, huna sababu ya kumtaja baba yake!, huku ni kumchafua bure baba mtu!. What has baba mtu got to do with kauli za mtoto wake ambaye ni mtu mzima anayejitegemea?!.
P
Nivizuri tukamjua rahisi...ni sawa mtoto wako akileta upumbavu tutamu introduce ka hivi...

"mtoto wa mugombea ubunge Kawe ambaye alichakazwa na kura moja tuu na wajumbe...."
 
Back
Top Bottom