Mtoto wa ndugu yangu kakoswa koswa kutekwa na watekaji wa watoto

Mtoto wa ndugu yangu kakoswa koswa kutekwa na watekaji wa watoto

Zamani nilikuwa nawashangaa wazungu wanawafundisha watoto wao wasiongee wala kuwajibu strangers
Baadae nikajua umuhimu wake
Na mimi nikawafundisha watoto
Hata umuitaje kama hakujui imekula kwako
Wazazi na hata mliomo humu bila watoto jaribuni kuwafundisha watoto wasiongee wala kuwaitikia wasiowajua hata wapepe box la pipi
Watoto huku hawapewi kitu
Kama ni sumu au ana allergy
Kweli sisi tuko tofauti kwa sababu ya upendo lakini mambo yamebadilika sana siku hizi
Hakuna kumuaminia mtu mtoto na ajue hakuna cha anti wala anko
Huku mtu unayemuamini ndio anayedhuru, si umeona mtoto aliyeuwawa ni mpango wa baba yake na watu wa karibu wa kiroho.!!
 
Zamani nilikuwa nawashangaa wazungu wanawafundisha watoto wao wasiongee wala kuwajibu strangers
Baadae nikajua umuhimu wake
Na mimi nikawafundisha watoto
Hata umuitaje kama hakujui imekula kwako
Wazazi na hata mliomo humu bila watoto jaribuni kuwafundisha watoto wasiongee wala kuwaitikia wasiowajua hata wapepe box la pipi
Watoto huku hawapewi kitu
Kama ni sumu au ana allergy
Kweli sisi tuko tofauti kwa sababu ya upendo lakini mambo yamebadilika sana siku hizi
Hakuna kumuaminia mtu mtoto na ajue hakuna cha anti wala anko
Aisee ilo ni fundisho kubwa sana mambo ya mtoto kuchekacheka na mtu ambae hamfahamu ni mbaya sana mwisho wa siku mtoto wanamlaghai na kutekwa mazima nimepata funzo hapa wacha niwafundishe watoto wangu mazoea na watu hapana hii itanisaidia sana mana hali ni tete sana
 
Polisi noana kimya, na vitengo vingine vya usalama hola, media nazo kimya
Inamana serikali ipo kimya kabisa hali ya kuwa matukio yanaonekana wazi wazi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ni hatari kweli, niliumia nafsi kuona yuko mwenyewe eneo hilo, ni mbuga ambapo smtms kuna tembo au nyati ambao ni hatari mnoo
Hakuna makazi ya watu, wapita njia ni nadra Sana!!
Wazazi wengine hawathamini usalama wa watt wao
Sio kila mtu anapaswa kuwa mzazi, ni vile tu raia wabishi wanalazimisha, na pia kauli za Kiswahili kila mtoto ana sahani yake.
 
Zamani nilikuwa nawashangaa wazungu wanawafundisha watoto wao wasiongee wala kuwajibu strangers
Baadae nikajua umuhimu wake
Na mimi nikawafundisha watoto
Hata umuitaje kama hakujui imekula kwako
Wazazi na hata mliomo humu bila watoto jaribuni kuwafundisha watoto wasiongee wala kuwaitikia wasiowajua hata wapepe box la pipi
Watoto huku hawapewi kitu
Kama ni sumu au ana allergy
Kweli sisi tuko tofauti kwa sababu ya upendo lakini mambo yamebadilika sana siku hizi
Hakuna kumuaminia mtu mtoto na ajue hakuna cha anti wala anko
Hii mambo ya mtoto mtaa mzima kila mtu uncle uncle uncle uncle uncle uncle uncle uncle ni kumuweka mtoto mazingira hatari kwa usalama wake
 
Hii mambo ya mtoto mtaa mzima kila mtu uncle uncle uncle uncle uncle uncle uncle uncle ni kumuweka mtoto mazingira hatari kwa usalama wake
Kwa sasa watoto wetu tuwaweke kwenye mitazamo tofauti kabisa mana upepo umebadilika sana
 
Habari za usiku wakuu!

Jamani juzi kati hapa kuna mtu alipost uzi fulani kuhusiana na tatizo la utekaji wa watoto baadhi ya maeneo ya dar es salaam. Leo almanusura tumpoteze mtoto wa ndugu yetu, tukio lilitaka kutokea maeneo ya kimara matosa, mtoto aliitwa na watu wasiojulikana walikuwa kwenye noa nyeusi tinted mtoto aliambiwa akachukue pipi lakini mtoto alisita akakimbia, ivyo ndio ikawa pona pona yake.

Ivyo naomba niwaombe wazazi na walezi tuwe makini sana na watoto wetu.

Niwatakie usiku mwema.
IGP yupo kutetea watekaji
 
Kipindi hiki ni cha hatari kwa watoto kama kilivyokuwa kipindi cha hatari kwa wayahudi wakati wa utawala wa fascist Adolf Hitler au mpinzani wakati wa Diktator jiwe
 
Back
Top Bottom