Mtoto wa ndugu yangu kakoswa koswa kutekwa na watekaji wa watoto

Mtoto wa ndugu yangu kakoswa koswa kutekwa na watekaji wa watoto

Hii mambo ya mtoto mtaa mzima kila mtu uncle uncle uncle uncle uncle uncle uncle uncle ni kumuweka mtoto mazingira hatari kwa usalama wake
Ndio ngono za utotoni zinaanza hapo
Yaani mtoto anajulikana mtaa mzima
Akiharibika unalaani society kumbe mzazi ndio aliemtengenezea njia mbaya
Mama au baba hajui mtoto yuko wapi masaa 6 je ni sawa?
Watoto lazima uwe unajua wako wapi mda wowote na sio kwenda kwenye majumba ya watu au kucheza na watoto usiowajua


Kulea sio kazi bali wengi wanashindwa kulea
 
Aisee ilo ni fundisho kubwa sana mambo ya mtoto kuchekacheka na mtu ambae hamfahamu ni mbaya sana mwisho wa siku mtoto wanamlaghai na kutekwa mazima nimepata funzo hapa wacha niwafundishe watoto wangu mazoea na watu hapana hii itanisaidia sana mana hali ni tete sana
Mkuu sio kutekwa tu hata matusi wanafundishana nje
Mazoea na watu kataza kabisa mana ngono pia huwa zinaanzia huko wanakoenda

Kuwa rafiki na watoto waambie madhara ya kuwa nje na hatari zake
 
Miaka ya nyuma kidogo nilikuwa njiro Arusha, ktk ki grocery njee kuliwa na vitoto vya kike vinacheza pembeni yupo mlevi hawa wa banana

mara kutoka nje naona kapakata katoto kadogo umri wa miaka 4-5 mkono ndani ya chupi ya mtoto daaaah...
Nilichukua hatua..
Hili tukio silisahaugi
 
Habari za usiku wakuu!

Jamani juzi kati hapa kuna mtu alipost uzi fulani kuhusiana na tatizo la utekaji wa watoto baadhi ya maeneo ya dar es salaam. Leo almanusura tumpoteze mtoto wa ndugu yetu, tukio lilitaka kutokea maeneo ya kimara matosa, mtoto aliitwa na watu wasiojulikana walikuwa kwenye noa nyeusi tinted mtoto aliambiwa akachukue pipi lakini mtoto alisita akakimbia, ivyo ndio ikawa pona pona yake.

Ivyo naomba niwaombe wazazi na walezi tuwe makini sana na watoto wetu.

Niwatakie usiku mwema.
Mhuuu
 
Zamani nilikuwa nawashangaa wazungu wanawafundisha watoto wao wasiongee wala kuwajibu strangers
Baadae nikajua umuhimu wake
Na mimi nikawafundisha watoto
Hata umuitaje kama hakujui imekula kwako
Wazazi na hata mliomo humu bila watoto jaribuni kuwafundisha watoto wasiongee wala kuwaitikia wasiowajua hata wapepe box la pipi
Watoto huku hawapewi kitu
Kama ni sumu au ana allergy
Kweli sisi tuko tofauti kwa sababu ya upendo lakini mambo yamebadilika sana siku hizi
Hakuna kumuaminia mtu mtoto na ajue hakuna cha anti wala anko
Hili ni muhimu sana. Unakuta watoto wanaambiwa eti wawe watii kwa wakubwa na kusalimia kila mtu. Maweee!
 
Daah Mungu anasaidia TU maana leo nimekutana na mtoto wa darasa la kwanza kanapita porini peke yake umbali wa kilomita tano hv
Eneo ni hatari kuna Nyati na tembo smtms hakuna makazi ya watu wala wapitanjia!

Nilikapa lift, niliwaza mbali sana kwa jinsi dunia watu wamekuwa wanyama.... Kufika kakashuka na kusema "asante Mungu akubariki"

Wazazi tulinde watoto wetu, hasa pia mida ya kutuma dukani usiku ni hatari, bora uende mwenyewe tu
Huku Mikoan ni kawaida kuona mtoto anatembea km 15 kufuata shule.
 
Cha kushangaza huwezi kusikia matamko ya vyombo vya Ulinzi na Usalama vikifanya uchunguzi na kutoa tahadhari juu ya matukio haya.
Kwakweli mimi binafsi inanifikirisha sana matukio yaliyotokea ni mazito mno lakini vyombo vipo kmyaaa
 
Kwann mtu asizae watoto ambao ataweza kuwahudumia na kuwaweka mazingira salama!!
Mtu anazaa km sungura, serekali inabidi hiamishie nguvu ktk elimu ya uzazi wa mpango
Nimecheka utafikiri mazuri, sema mkuu unaweza ukawa na mtoto mmoja alafu ukashangaa janga limempata mtoto wako ni vile tu mazingira kwa sasa ni hatar sana
 
Mkuu sio kutekwa tu hata matusi wanafundishana nje
Mazoea na watu kataza kabisa mana ngono pia huwa zinaanzia huko wanakoenda

Kuwa rafiki na watoto waambie madhara ya kuwa nje na hatari zake
Kiukweli dunia imekwisha jamani mambo yamebadilika sana juzi juzi vitoto vya majirani cha kike kidogo na cha kiume kikubwa kidogo vimekutwa vinakulana aisee sio powa mambo ovyo kabisa suhala la kuchunga watoto ni muhimu sana
 
Kiukweli dunia imekwisha jamani mambo yamebadilika sana juzi juzi vitoto vya majirani cha kike kidogo na cha kiume kikubwa kidogo vimekutwa vinakulana aisee sio powa mambo ovyo kabisa suhala la kuchunga watoto ni muhimu sana
Mkuu hamuoni watu wasio waswahili watoto wao hawaonekani wakicheza hovyo nje?
Tunasema ni wabaguzi kumbe wao ndio wako sahihi kila wakati
Wangewaacha mngeona damu changanyikeni kila mahali

Tuwafunze maadili watoto la sivyo mtaendelea kuona mtoto wa miaka 12 yuko na jamaa gesti

Huku mtu unayemuamini ndio anayedhuru, si umeona mtoto aliyeuwawa ni mpango wa baba yake na watu wa karibu wa kiroho.!!
 
Hili ni muhimu sana. Unakuta watoto wanaambiwa eti wawe watii kwa wakubwa na kusalimia kila mtu. Maweee!
Tena hiyo tabia ndio siipendi na kina mama ndio wanaona ni heshima halafu jitu kubwa linampaka mtoto wa kike hao ni mbwa kabisa
Tena unamwambia mtoto wewe shuka hapo nenda ndani

Najua haya yapo ila mkiwaacha hivyo wanafika pabaya

Walindeni viumbe hao maana hawajui kitu wanafuata maneno yenu
Kina mama wengi wanawauza watoto kisa wanapewa hela
 
Mkuu hamuoni watu wasio waswahili watoto wao hawaonekani wakicheza hovyo nje?
Tunasema ni wabaguzi kumbe wao ndio wako sahihi kila wakati
Wangewaacha mngeona damu changanyikeni kila mahali

Tuwafunze maadili watoto la sivyo mtaendelea kuona mtoto wa miaka 12 yuko na jamaa gesti
Hapo unachanganya mazingira ya uswahili na ushuani, vipato havifanani mkuu.!!
Kwahiyo unataka wote tuwe matajiri tufungie watoto kwenye mageti??
Huku uswahilini ndio matukio ya utekaji mengi, na yanasababishwa na hali ngumu ya kimaisha.!!
 
Hapo unachanganya mazingira ya uswahili na ushuani, vipato havifanani mkuu.!!
Kwahiyo unataka wote tuwe matajiri tufungie watoto kwenye mageti??
Huku uswahilini ndio matukio ya utekaji mengi, na yanasababishwa na hali ngumu ya kimaisha.!!
Unaweza kuwa karibu na wanao na kuwafundisha mazuri na kuwakataza mabaya
Watoto bila kuwaonya hawajui na kipigo hakisaidii
Bora kuwaambia
Sikatai watoto kucheza pamoja ila wawe na mda na pia wanaonba ruhusa na wewe unawa monitor
Kuhusu ushuani na changanyikeni sawa
Lakini hata masikini awe na mda wa kuwa nje na watoto wake sio lazima kuwapeleka mahoteli makubwa au beach lakini onyesha upendo kwa kutembea nao hata mitaa miwili mitatu

Be close to them wajue unawajali hata kama huna gari mama
Nayajua maisha yote pande mbili ila wazazi tuwe waangalifu hakuna cha anko wala anti
 
Unaweza kuwa karibu na wanao na kuwafundisha mazuri na kuwakataza mabaya
Watoto bila kuwaonya hawajui na kipigo hakisaidii
Bora kuwaambia
Sikatai watoto kucheza pamoja ila wawe na mda na pia wanaonba ruhusa na wewe unawa monitor
Kuhusu ushuani na changanyikeni sawa
Lakini hata masikini awe na mda wa kuwa nje na watoto wake sio lazima kuwapeleka mahoteli makubwa au beach lakini onyesha upendo kwa kutembea nao hata mitaa miwili mitatu

Be close to them wajue unawajali hata kama huna gari mama
Nayajua maisha yote pande mbili ila wazazi tuwe waangalifu hakuna cha anko wala anti
Hapa tunajadili utekaji sio malezi, hayo malezi hayahusiani na utekaji.!!
Kutekwa hata mtu mzima anatekwa.
 
Back
Top Bottom