Mtoto wa ndugu yetu anaona aibu kurudi Tanzania tangu alipokwenda Marekani

Mtoto wa ndugu yetu anaona aibu kurudi Tanzania tangu alipokwenda Marekani

Inauma sana kama hupo mbali na hakuna lolote alafu unaona au kusikia kwenye mitandao ya kijamii fulani kajenga, kaoa na yeye sasa kasafiri.

Kinacho mfanya kuona aibu ni ubinafsi kipindi yupo huko alijiona ndio kafika tukashauri sana ndugu zake tuliopo mtambuka tufanye ushirikiano ila ndio hivo binadamu hata hapa viongozi nao wapo hivo hivo.

Mimi nawapongeza sana watu wa visiwani kwa umoja wenu ndio mnafanya nchi yenu kufika mbali ila huku bara ni husda ukishakuwa nje. Naletewa simu ya nokia tochi ananiuliza kuwa internet imeshafika ya 3g. kweli mtu huyu.
Hapa mtu sio wewe..., Yaani unachagua hata cha kuletewa ?

Nyie ndio mnadhani Ughaibuni ni Mbinguni kumbe ni kama huku tu, huenda angebaki huku angekuwa anakuomba pesa ya kwenda kunyoa..., kwahio amekupunguzia shida.... Ukiwaza sana haya maisha ni rat race..., hata wewe huenda unachokikimbilia / kifuata ni illusion
 
Hii story imetengenezwa ili watu waanze kujadili waliopo mamtoni na wala vumbi aka waturutumbi. Kuna mturutumbi mmoja kashauri kuwekeza bongo, hivi mtu yupo mamtoni awekeze bongo kweli?mnatuona mandezi sana eeh?? huo si upumbavu wa hali juu na anatafuta kuliwa tu. Watu mamtoni siku hizi wameshtuka wanawekeza bank ndio mpango mzima. Ujenge bongo ili waturutumbi waje wakudhulumu kua wewe sio raia...nyooo watu wanawekeza savings bank now, pesa inatulia, holiday Brazil, Cancun au Cuba. Jiji kubwaaaa Ka shopping mall kamoja tu Mlimani City na kila mtu anapeleka kinyeo chake pale, Mambo ya joto kali na hamna umeme wameshayachoka.Jengeni nchi kwanza tutakuja huko Inshaallah.
 
Hii story imetengenezwa ili watu waanze kujadili waliopo mamtoni na wala vumbi aka waturutumbi. Kuna mturutumbi mmoja kashauri kuwekeza bongo, hivi mtu yupo mamtoni awekeze bongo kweli?mnatuona mandezi sana eeh?? huo si upumbavu wa hali juu na anatafuta kuliwa tu. Watu mamtoni siku hizi wameshtuka wanawekeza bank ndio mpango mzima. Ujenge bongo ili waturutumbi waje wakudhulumu kua wewe sio raia...nyooo watu wanawekeza savings bank now, pesa inatulia, holiday Brazil, Cancun au Cuba. Jiji kubwaaaa Ka shopping mall kamoja tu Mlimani City na kila mtu anapeleka kinyeo chake pale, Mambo ya joto kali na hamna umeme wameshayachoka.Jengeni nchi kwanza tutakuja huko Inshaallah.
Wewe ni good sample ya diaspora wajinga wasiojitambuwa.

Hivi ukiinvest kwenye real estate na pesa yako unaingiziwa kwenye account shida iko wapi? Kama huna hata rafiki hata mmoja muaminifu wa kukaguwa estate zako na supervising basi wewe ni tatizo.

Kiwanja ni sehemu ya kwenda kusaka pesa ila maisha yapo Bongo.

Hebu check kitoto hiki Marekani una jeuri ya kukagusa haka? Lakini Bongo unawakula tu upendavyo.
 

Attachments

  • JamiiForums-341171402.jpg
    JamiiForums-341171402.jpg
    51.3 KB · Views: 7
Hii story imetengenezwa ili watu waanze kujadili waliopo mamtoni na wala vumbi aka waturutumbi. Kuna mturutumbi mmoja kashauri kuwekeza bongo, hivi mtu yupo mamtoni awekeze bongo kweli?mnatuona mandezi sana eeh?? huo si upumbavu wa hali juu na anatafuta kuliwa tu. Watu mamtoni siku hizi wameshtuka wanawekeza bank ndio mpango mzima. Ujenge bongo ili waturutumbi waje wakudhulumu kua wewe sio raia...nyooo watu wanawekeza savings bank now, pesa inatulia, holiday Brazil, Cancun au Cuba. Jiji kubwaaaa Ka shopping mall kamoja tu Mlimani City na kila mtu anapeleka kinyeo chake pale, Mambo ya joto kali na hamna umeme wameshayachoka.Jengeni nchi kwanza tutakuja huko Inshaallah.
Tumekwambia kuwekeza.embu nenda kajifunze kwa jamaa.anaitwa chriss wa UK.ukija umalize unachoongea
 
Inauma sana kama hupo mbali na hakuna lolote alafu unaona au kusikia kwenye mitandao ya kijamii fulani kajenga, kaoa na yeye sasa kasafiri.

Kinacho mfanya kuona aibu ni ubinafsi kipindi yupo huko alijiona ndio kafika tukashauri sana ndugu zake tuliopo mtambuka tufanye ushirikiano ila ndio hivo binadamu hata hapa viongozi nao wapo hivo hivo.

Mimi nawapongeza sana watu wa visiwani kwa umoja wenu ndio mnafanya nchi yenu kufika mbali ila huku bara ni husda ukishakuwa nje. Naletewa simu ya nokia tochi ananiuliza kuwa internet imeshafika ya 3g. kweli mtu huyu.
Yeye akikaa Marekani kivyake wewe inakupunguzia nini?
 
Ndugu wakiwa nje wa Nini kuwashobokea vizuri wajiongeze wenyewe, mwezi wa sita Kuna ndugu zetu wanakuja likizo bongo , toka wawe nje hakuna lolote, wanakuja kufikia kwenye vibanda vyetu, baada wangewekeza wakija wanafikia pazuri, mipango kununua ngombe kufanya sherehe na sio kuwekeza au kuweka home kuwe kizuri.
Pengine wanapambana waweze kununua huko waliko, na hawataki kuja kuishi bongo kwanini iwalazimu kujenga?

Ninyi jengeni mabanda yenu wakija kuwasalimia watafikia humo humo au hotelini.

Nikikuuliza mbona wewe hujaenda kujenga marekani utajibuje?
 
Back
Top Bottom