Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Shetani naye alikuwa anazungumza na Mungu and so were the angels.Kuzungumza na Mungu hakukupi unabiiMbongo bhana! Yaani akizungumza kitu anajiona anajua na kumkashifu mwenzake! Haina shida, hii ndiyo hulka ya mbongo!
Kwa hiyo Ibrahim akiwa Patriach ndiyo hawezi kuwa prophet?
Kama alikiwa patriach kama unavyodai alikuwa anazungumzaje na Mungu? Na alikuwa anazungumza na Mungu yeye ni kama nani?
DuuhNikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli
Ishmael hakuwa mtoto wa nje ya ndoa,bali mtoto wa mjakazi aliyetolewa na sara awe mke kwa Ibrahimu ili apatie uzao.Ishmael ndio chanzo cha Waarabu na usilamu ?....hii nadharia mnaipata wapi ?
Uislamu umekuja baadae sana baada ya Ukristo kutangulia, Sasa hapo Ibrahim anahusika vipi?.
Kituko cha mwaka,utasema yote lakini aliyebadilisha dunia hii na elimu ni mmisri na wagiriki tu...waarabu walikua wanakufa na kipindupindu arabia mana hata maji ya kuchambia walikua hawana..tofauti ya muarabu na mwafrika ni rangi tu.Ukiwaona waarabu uwe unainama unawabusu miguu yao.
Wamekuletea namba unazotumia,
wamekuletea Algorithm unayo tumia program za computer Leo,
Wamekuletea Algebra yenye matumizi kemken kwenye sayansi.
Wamekuletea sea navigation kwa usafiri baharini hata hao wanaitwa wavumbuzi walitumia mbinu na vifaa vya waarabu kusafiri baharini.
Wamekuletea to Astronomy - robo tatu ya nyota unaziona kwa macho zinatumia majina ya kiarabu hadi Leo.
Wamekuletea lugha ya kiswahili inayo jumuisha watu karibu milioni 150
Wamekuletea chemistry hata neno chemistry asili yake ni kiarabu.
Wamechangia vikubwa kwenye elimu ya tiba na vifaa vingi vya tiba.
Wameleta elimu na vifaa vya maandishi Yani karatasi na kalamu hapa Afrika mashariki na hususan Tanzania watu wakikuwa wanawasaliana kwa maandishi miaka elfu na zaidi kabla wazungu hawajaja.
Ni msururu mwingi sana wa mchango wa waarabu kwenye nyanja zote
Jiulize wewe umechangia kipi duniani ? Zaidi ya kumaliza oxygen na kuongeza gesi ya ukaa kwenye mazingira.
Soma mtandaoni kabla ya kubwatuka
Sio wa kristo wamejitungia ni maandiko ya tourati na zaburi ndio yanasema hivyo..kama ninyi vijukuu wa muddy mnaamini hivyo vitabu nadhani ungeenda kuvisoma ukapata maarifa zaidi.Sijawahi ona logic ya wakristo kuwachafua manabii wote na mara ibrahim alizini na kija kazi mara nuhu alilala na wanae hivi mnakuwa na shida gani .
Sisi waislam Ibrahim alimuoa kijakazi baada ya mkewe Sara kukosa mto
hivi ukiwa na ndoa, ukazaa na housegirl, huyo sio mtoto wa nje? nje maana yake ni nje ya ndoa. sara alikuwa housegirl toka Misri na sara alimwambia ibrahim alale naye amzalishe, sio amuoe. elewa hilo.Ishmael hakuwa mtoto wa nje ya ndoa,bali mtoto wa mjakazi aliyetolewa na sara awe mke kwa Ibrahimu ili apatie uzao.
Uislam ulitokana na muddy baada ya kupigwa roba mapangoni na shetani alla.
logic ni ndogo sana kuelewa. kuran imekuja miaka 3000 baada ya torati na manabii kuwepo. nenda kwenye vitabu vyote vya wayahudi, talmud na torati na chochote, historia yake imewekwa na kuhifadhiwa hata kabla mohamed hajazaliwa. kwa hiyo mohamed kuja kuleta uongo miaka 3000 baadaye kwa kitu kilichoexist maelfu ya miaka, ni jambo la ajabu kabisa.Sijawahi ona logic ya wakristo kuwachafua manabii wote na mara ibrahim alizini na kija kazi mara nuhu alilala na wanae hivi mnakuwa na shida gani .
Sisi waislam Ibrahim alimuoa kijakazi baada ya mkewe Sara kukosa mto
Kwani amezungumza habari ya Uislam au Uarabu?Uislamu haukuanza kwa ismael (a.s)..!
Umesoma baraka alizobarikiwa Ismael na Mungu?Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli
Upuuzi mtupulogic ni ndogo sana kuelewa. kuran imekuja miaka 3000 baada ya torati na manabii kuwepo. nenda kwenye vitabu vyote vya wayahudi, talmud na torati na chochote, historia yake imewekwa na kuhifadhiwa hata kabla mohamed hajazaliwa. kwa hiyo mohamed kuja kuleta uongo miaka 3000 baadaye kwa kitu kilichoexist maelfu ya miaka, ni jambo la ajabu kabisa.
vitabu vyote vya kiyahudi vinaeleza kwamba, ibrahim alikuwa na mke aliyeitwa Sara, na walikuwa na mfanyakazi wa ndani aliyeitwa hajir. baada ya kukosa mtoto, sarah akamwambia ibrahim amzalishe hajir mtoto, hakumwambia amuoe ili awe mke mwenza, na hakumuoa kuwa mke mwenza, na wala hakuwa suria wake, alikuwa mfanyakazi wa ndani, na hakumuoa. ibrahim alilala naye, akazaa ishmael, na hata baada ya kuzaa aliendelea na hadhi ile ile ya mfanyakazi wa ndani, hakuwa na hadhi ya mke, ndio maana hakuzalishwa mtoto mwingine kwa sababu hakulala naye tena. angekuwa mke mbona ishmael angekuwa na wadogo zake wengi tu au unafikiri alifunga kizazi? kwahiyo ona mud alivyopotosha akasahau namna ya kudanganya, na uongo huo ninyi mmebaki nao kujifariji nao hadi leo.
Isaka alipozaliwa na kukua, sara alimwambia ibrahim amfukuze pale nyumbani mfanyakazi wa ndani, ndio alifukuziwa uarabuni huo, na hakupata urithi wowote, na ndio chanzo cha waarabu kuwachukia wayahudi hadi leo. Huyo Isaka ndio alikuwa baba wa Yakobo (ambaye jina lingine ni Israel) ambaye ile nchi yote ya Israel iligawanywa mikoa 12 kila mtoto wa kiume akipata mkoa wake. waisrael kwa yakobo ni kizazi cha 3 tu toka kwa Ibrahim ndio maana taarifa zake ni authentic, ni babu yao.
mfano, Yerusalem lilikuwa jimbo la Yuda, (Juda) na humo ndio hata asili ya neno Jew lilitokea au kwa kiswahili WAYUDA. Yuda alikuwa mtoto wa Yakobo(Israel) ambaye mikoa ya kaskazini (ya ndugu zake) walipomwasi Mungu yeye aliendelea kumwabudu Mungu, ndio hadi leo imani yake ikawa ya wana wa Yuda ikawa kama dini ya Judaism, ndio dini ya kiyahudi ambayo iliendelea hadi kipindi Yesu anazaliwa, wakati kabla ya hapo makabila mengine walianza kuabudu miungu mingine. kwa hiyo ukisikia Jew au judaism jua hili. mud kawadanganya sana.
vitabu 4 vya awali vya Biblia kwanza viliandikwa na Musa. na story hizo zimo humo. baod hujaenda kwa vile vya wayahudi (ambavyo hi hivihivi) vimehifadhiwa kwa lugha ya asili. hiyo ni historia ambayo wayahudi wameishi nayo hata kabla mtume wenu aliyeleta kitabu cha uongo hajazaliwa. sasa sijui nikuelimisheje.Upuuzi mtupu
Hivyo vitabu vya miaka elfu tatu iliyopita nani aliviandika,usimsingizie "roho mtakatifu" hiyo concept ilikuja kuundwa Nicea na Constantine miaka 350 baada ya Yesu kutundikwa kwenye jiti.
Kanywe ***** ya upako urudi tena Ukiwa na akili timamu.
NB: Simulizi nyingi za Tourati ni copy and paste ya dini za kale Waajemi, mfano hadithi ya mafuriko (Noah's mythical take,) iliandikwa miaka elfu saba kabla ya kuwepo kwa Taifa la Wayahudi ( Tales of Gilgamesh kama unajua kiingereza tafuta usome).
Una Imani ya kijinga kabisa.
Kwaiyo unadhan alikua mchinaKwa hiyo Ibrahim alikuwa mwarabu ndio maana Ishmael nae mwarabu?
Wewe unayofauti gani nao,mana wao wanadanganywa na wazungu wewe nawe unadanganywa na waaarabu...Same old shit just a different day.IBRAHIM ANAAMBIWA MTOTO ATAKAYE MRITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE
Mwanzo 15:4
Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.
ISHMAEL NDIO MTOTO ALIYETOKANA NA VIUNO VYA IBRAHIM
Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.
MUNGU ANATOA BARAKA KWA ISHMAEL
Mwanzo 16:11
Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
IBRAHIM YUPO SAUDI ARABIA NA ANAMUOMBA MUNGU UWE MJI WA AMANI
Quran 2:126
Na alipo sema Ibrahim: Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye huu uwe mji wa amani, na uwaruzuku watu wake matunda, wale wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Akasema:
IBRAHIM NA MWANA WE ISHMAEL WANAJENGA MSIKITI WA MAKA
Quran 2:127
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.
IBRAHIM ANAMUOMBA MUNGU ALETE MTUME PALE SAUDI ARABIA
Quran 2:129
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.
Nahi nakupa kama zawadi utabiri wa mtume MUHAMMAD katika mabii wa kale Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael baadae likawa jina la mji na huo mji ndio Saudi Arabia ya Sasa
Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.
Sasa nyinyi wagalatia endeleeni tu kudanganywa na Wazungu
Ila kimsimgi ukiacha uzombi wa dini,hakuna chain ya manabii na mitume iko upande wa wayahudi,hilo uubishe ukatae ndio ukweli...mbona wakristo wamelikubali hilo,ila waisharamu hawataki au kisa muddy alikua na uadui nao ndio mana analazimisha kuwa migume na manabii walikua waisharamu wakati uisharamu ulianzia kwake yeye huko mapangoni.Unaposema manabiiw wote wanatokea Judea, Ibrahim mwenyewe alitokea wapi?
Nabii Nuhu (Noah) naye alitokea wapi? Judea?
Nabii Sheeth (Seth) alitokea Judea?
Nabii Idriss (Enoch) alitokea Judea?
Nabii Hud (Heber) alitokea Judea?
Nabii Saleh (Methusaleh) alitokea Judea? n.k
Hebu kiongozi tufahamishe tafadhali!
Wewe ukoo wako umeleta Nini hapa duniani ? Wewe hufikii visigino vya waarabu kwa mchango katika elimu.Kituko cha mwaka,utasema yote lakini aliyebadilisha dunia hii na elimu ni mmisri na wagiriki tu...waarabu walikua wanakufa na kipindupindu arabia mana hata maji ya kuchambia walikua hawana..tofauti ya muarabu na mwafrika ni rangi tu.