Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.

Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli

Pole sana kwa kuwachukia waarabu, jiangalie hapo ulipo, una maendeleo gani! Unaishi vipi na watu! Utapata jibu
 
Waarabu na wayahudi wote ni semitic!

Kwa watoto wa Nabii Nuh watatu wale waliyoendeleza kizazi baada ya gharika hawa wawili niliyowataja juu wametokea kwenye uzao mmoja wa Sam mtoto wa Nuh.

Waarabu wapo aariba na mustaariba. Mustaariba waliyotokana na Ishmael baada ya kuoa mwarabu wa Yemen. Kizazi chake kilitochanganyikana na waarabu na kuolea humo na kupotelea humo na kuwa waarabu. Hawa wanaitwa Mustaariba (Waarabu ambao si pure arabs).

Mustaariba wanatoka kwa Ishmael mwana wa Ibrahim.

Quraysh ni jina la babu yake Mtume ndilo lilobeba kwa baadaye kabila kwa ujumla.

Unaposema hakuna link baina ya waarabu na wayahudi una maanisha nini?
Ishmail hakuwa mwarabu babake ni mkanaan tuanzie hapo.
Na hata ukitaka kutrace race ya Ibrahim utaitrace kwa wakurd zaid ya waarabu.
Nuhu hakuwa nabii.
Kwa mujibu wa maandiko unabii umeanzia kwa Musa ukaishia kwa Yohana mbatizaji.
Shughulisha ubongo wako kusoma
 
Changamsha ubongo usome historia.Shida yenu mnatafuta gap la kumnasibisha Muhammad kwenye genealogy ya manabii kitu ambacho si sawa.
These guys are considered as Patriachs na si manabii.
Hawana sifa za uonaji na utabiri kama manabii wengine.
Wao ni mababa wa Imani.
Kila prominent figure kwenye bible mnaipa unabii.
Historia ya ukombozi wa Israel ina Patriachs,Waamuzi,Manabii na wafalme.
Na kila office ila role yake.
All YHWH's prophets came from Judea and not Samaria.
Muhammad is not a prophet of God but rather a prophet of allah a Quraysh God
Mbongo bhana! Yaani akizungumza kitu anajiona anajua na kumkashifu mwenzake! Haina shida, hii ndiyo hulka ya mbongo!

Kwa hiyo Ibrahim akiwa Patriach ndiyo hawezi kuwa prophet?

Kama alikiwa patriach kama unavyodai alikuwa anazungumzaje na Mungu? Na alikuwa anazungumza na Mungu yeye ni kama nani?
 
Ishmail hakuwa mwarabu babake ni mkanaan tuanzie hapo.
Na hata ukitaka kutrace race ya Ibrahim utaitrace kwa wakurd zaid ya waarabu.
Nuhu hakuwa nabii.
Kwa mujibu wa maandiko unabii umeanzia kwa Musa ukaishia kwa Yohana mbatizaji.
Shughulisha ubongo wako kusoma
Nabii ni nani na kazi yake ni nini?
 
Unaposema manabiiw wote wanatokea Judea, Ibrahim mwenyewe alitokea wapi?

Nabii Nuhu (Noah) naye alitokea wapi? Judea?

Nabii Sheeth (Seth) alitokea Judea?

Nabii Idriss (Enoch) alitokea Judea?

Nabii Hud (Heber) alitokea Judea?

Nabii Saleh (Methusaleh) alitokea Judea? n.k

Hebu kiongozi tufahamishe tafadhali!
Kati ya hao wore uliowataja hakuna nabii hapo Nyie hata Adam mnamwita nabii!
Hatari sana
 
Nabii ni nani na k

In summary, the roles and responsibilities of prophets in the Old Testament were diverse and complex. They were God's messengers, covenant enforcers, social critics, visionaries, and intercessors. Their ministry was marked by a deep commitment to God's purposes and a willingness to endure suffering for the sake of the truth. The prophetic tradition continues to inspire and challenge believers today, calling us to a deeper understanding of God's will and a more faithful response to His call.
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.

Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli
Yaani ni kero
 
ndio, hakuwa malaika, alikuwa na madhaifu, ila Mungu alikuja kumhesabia haki kwa imani aliyokuwa nayo. Mungu huwa anasamehe.
Sasa utachaguliwaje kama mfano wa kusimamia na kufundisha maagizo ya Mungu hali ya kuwa wewe mwenyewe yanakushinda?

Yaani Mungu anamwambia Nabii ielimishe jamii iliyokuzunguka wasiwe wezi, halafu Nabii huyo huyo anaiba! Waambie uzinifu haufai halafu Nabii huyo huyo anazini! Usiue halafu Nabii huyo huyo anaua!

Kuna mantiki gani ya Mungu kumtuma Nabii na kuwa mfano bora kwa jamii kwa yale aliyoaambiwa ayafikishe hali ya kuwa Nabii mwenyewe yanamshinda?

Yaani watu watamchukulia Mungu kinamna gani yaani?
 
Mbona tunaambiwa uislam aliuanzisha Muhammad S A W?
Sasa which is which?
Kwa imani ya kiislamu, mitume na manabii wote wapo chini ya kambi moja ya Mungu, wote wapo chini ya uangalizi mmoja na wote wameletwa kwa binadamu kwa kazi moja na hao mitume hawajatofautiana kufikisha ujumbe wao waliyokuja nao kutoka kwa Mungu.

Hivyo hiyo kazi ilikuwa ya kupokezana kijiti, kaanza Adam kuielimisha familia yake mpaka jamii ilivyokuwa kubwa na watu kutapakaa kila mahali.

Na maana ya Islam kwa mujibu wa uislam ni kujisalimisha mbele ya sheria za Mungu.
 
Kwa imani ya kiislamu, mitume na manabii wote wapo chini ya kambi moja ya Mungu, wote wapo chini ya uangalizi mmoja na wote wameletwa kwa binadamu kwa kazi moja na hao mitume hawajatofautiana kufikisha ujumbe wao waliyokuja nao kutoka kwa Mungu.

Hivyo hiyo kazi ilikuwa ya kupokezana kijiti, kaanza Adam kuielimisha familia yake mpaka jamii ilivyokuwa kubwa na watu kutapakaa kila mahali.

Na maana ya Islam kwa mujibu wa uislam ni kujisalimisha mbele ya sheria za Mungu.
Najua vyema mkuu.
Nikimuuliza huyo aliesema Ibrahim ndio ameanzisha dini ya uislamu wakati kila siku tukisema humu kuwa uislamu upo kuanzia Nabii Adam tunaambiwa uislam kauanzisha Muhammad S.A.W
Sasa leo nakutana na huyu bi dada anasema uislamu kaja nao Ibrahim
Ndio nasubiri jibu lake mkuu
 
Najua vyema mkuu.
Nikimuuliza huyo aliesema Ibrahim ndio ameanzisha dini ya uislamu wakati kila siku tukisema humu kuwa uislamu upo kuanzia Nabii Adam tunaambiwa uislam kauanzisha Muhammad S.A.W
Sasa leo nakutana na huyu bi dada anasema uislamu kaja nao Ibrahim
Ndio nasubiri jibu lake mkuu
Nimekuelewa madam!
 
K

waiyo unajua Ibrahim alikua malaika yaan we n mbulula kabisa
kwa taarifa yako hamna hata mmoja kati ya manabii na wapajwa mafuta alikua safii.
Ila walikua wanatubu
Rejea Daudi alimchukua mke wa usia na kisha kusababisha kifo cha usia ili ajichukulie mke wake.

Ibrahim akumsikiliza mungu kusubiri mtoto wa Ahadi wa mke wake wa ndoa Sarah
Ukristo ni kazi ya mikono ya Shetani 666 na ndio maana kazi yenu ni kutukana manabii wa Mungu

Hivi Huwa hamjiulizi Kwa Nini waislam hawawatukani manabii ?

Wewe na wagalatia wenzanko wete mna laana ya Mungu Kwa sababu mnamtuka nabii Ibrahim

Mwanzo 12:3
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa
 
Back
Top Bottom