Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Hata kaini alimwambia mungu amuweke alama ili atakapopita watu wasumdhuru tafakari ni

Kina nani?
Vitabu viliandikwa na watu wenye upeo wa kawaida sana na ndomana vinajikanganya vyenyewe. Kifupi hekaya za adamu na uzao wake ni alfu lela ulela hazina uhalisia.
 
Baadhi ya watanzania(makanisa ya kilokole ambayo asili yake ni marekani) ni wapumbavu sana, yani wanajiona wao wako karibu na wayahudi kuliko waarabu ambao wao na wayahudi wana asili moja; Ibrahim (kumbuka wayahudi ni patriarch society). Huwezi kukuta upumbavu huu kwa Kanisa Moja la Mitume.
 
Hukuzisoma World wars, Cold War, Korean War, Vietnam war, hukusoma walichofanya makomunisti akina Stalin, Pol Pot, Mao na wenzao, Bolsheviks waliua mamilioni.

Kasome kitu inaitwa Holodomor.

Hitler alipowaua mayahudi milioni 6 sijui hujasikia habari zake. Akina Leopold wa pili. Dunia inakuwa sio salama zaidi akina nani wakipigana? Urusi na Ukraine wamepigana vita vinaanza kila mtu ana wasiwasi. Korea wakitaka kupigana kila mtu ana wasiwasi. Kwa sababu wanajua ni akina nani hasa ndio wanatishia zaidi kuichoma moto amani ya dunia. Hao mayahudi (mazayuni) wenyewe waliofukuzwa na wasio waarabu huko Ulaya wakakimbilia nchi ya watu mashariki ya kati ni waleta fujo na watu wenye kuleta uharibifu. Kasome tu /ka google Samson Option uone ni watu wa aina gani! Na usisahau Waarabu hawajawahi kutumia mabomu ya nyuklia hata kidogo.

Mola wetu Allah ametakasika
Kama unataka kumuona mungu, mpokee yesu kuwa bwana na mwokozi wako, vinginevo utaishia jehanamu ya moto wa milele
 
Hivi kwani Ibrahim mwenyewe alikuwa mzungu? Ibrahim alikuwa mwarabu aliyezaliwa na kukulia Iraq wakati huo ikiitwa Babylon.
Ibrahim alihamia nchi nyengine ya waarabu inayoitwa Falastin akakaa hapo mpaka akafariki hapo.

Kwa hivyo mwarabu akihama nchi ndio anabadilika kuwa mzungu au? Hao Israel ni kabila tu ila ni waarabu pure.

Ni kama Mtanzania ahamie Ghana hapo utasema huyu sio muafrika?

Nyie wenzetu Wakristo muende mkapimwe kwanza akili zenu sio kwa umbumbumbu huu
Ibrahim hakuwa mwarabu.
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli

IBRAHIM ANAAMBIWA MTOTO ATAKAYE MRITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:4
Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO ALIYETOKANA NA VIUNO VYA IBRAHIM

Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANATOA BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

IBRAHIM YUPO SAUDI ARABIA NA ANAMUOMBA MUNGU UWE MJI WA AMANI

Quran 2:126
Na alipo sema Ibrahim: Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye huu uwe mji wa amani, na uwaruzuku watu wake matunda, wale wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Akasema:

IBRAHIM NA MWANA WE ISHMAEL WANAJENGA MSIKITI WA MAKA

Quran 2:127
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.

IBRAHIM ANAMUOMBA MUNGU ALETE MTUME PALE SAUDI ARABIA

Quran 2:129
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


Nahi nakupa kama zawadi utabiri wa mtume MUHAMMAD katika mabii wa kale Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael baadae likawa jina la mji na huo mji ndio Saudi Arabia ya Sasa

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Sasa nyinyi wagalatia endeleeni tu kudanganywa na Wazungu
 
IBRAHIM ANAAMBIWA MTOTO ATAKAYE MRITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:4
Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO ALIYETOKANA NA VIUNO VYA IBRAHIM

Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANATOA BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

IBRAHIM YUPO SAUDI ARABIA NA ANAMUOMBA MUNGU UWE MJI WA AMANI

Quran 2:126
Na alipo sema Ibrahim: Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye huu uwe mji wa amani, na uwaruzuku watu wake matunda, wale wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Akasema:

IBRAHIM NA MWANA WE ISHMAEL WANAJENGA MSIKITI WA MAKA

Quran 2:127
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.

IBRAHIM ANAMUOMBA MUNGU ALETE MTUME PALE SAUDI ARABIA

Quran 2:129
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


Nahi nakupa kama zawadi utabiri wa mtume MUHAMMAD katika mabii wa kale Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael baadae likawa jina la mji na huo mji ndio Saudi Arabia ya Sasa

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Sasa nyinyi wagalatia endeleeni tu kudanganywa na Wazungu
Yyte achukuaye mwanamke hili ya kya ana mke anazini

Mtoto anaweza zaliwa katika uzinifu pia hiyo n natural law
 
Yyte achukuaye mwanamke hili ya kya ana mke anazini

Mtoto anaweza zaliwa katika uzinifu pia hiyo n natural law
Kwahiyo IBRAHIM alikuwa mzinifu?

Wewe tayari umeshalaamiwa na Mungu na sio wewe tu ni wakristo wote maana hiyo ndio kauli yenu

Mwanzo 12:1
BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
Mwanzo 12:2
nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;
Mwanzo 12:3
nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.
 
IBRAHIM ANAAMBIWA MTOTO ATAKAYE MRITHI ATATOKA KATIKA VIUNO VYAKE

Mwanzo 15:4
Nalo neno la BWANA likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

ISHMAEL NDIO MTOTO ALIYETOKANA NA VIUNO VYA IBRAHIM

Mwanzo 16:2
Sarai akamwambia Abramu, Basi sasa, BWANA amenifunga tumbo nisizae, umwingilie mjakazi wangu labda nitapata uzao kwa yeye. Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.
Mwanzo 16:4
Basi akamwingilia Hajiri, naye akapata mimba. Naye alipoona ya kwamba amepata mimba, bibi yake alikuwa duni machoni pake.

MUNGU ANATOA BARAKA KWA ISHMAEL

Mwanzo 16:11
Malaika wa BWANA akamwambia, Tazama! Wewe una mimba, utazaa mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Ishmaeli, maana BWANA amesikia kilio cha mateso yako.
Mwanzo 16:12
Naye atakuwa kama punda-mwitu kati ya watu, mkono wake utakuwa juu ya watu wote na mkono wa watu wote utakuwa juu yake, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.

IBRAHIM YUPO SAUDI ARABIA NA ANAMUOMBA MUNGU UWE MJI WA AMANI

Quran 2:126
Na alipo sema Ibrahim: Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye huu uwe mji wa amani, na uwaruzuku watu wake matunda, wale wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Akasema:

IBRAHIM NA MWANA WE ISHMAEL WANAJENGA MSIKITI WA MAKA

Quran 2:127
Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi.

IBRAHIM ANAMUOMBA MUNGU ALETE MTUME PALE SAUDI ARABIA

Quran 2:129
Ewe Mola Mlezi wetu! Waletee Mtume anaye tokana na wao, awasomee Aya zako, na awafundishe Kitabu na hikima na awatakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


Nahi nakupa kama zawadi utabiri wa mtume MUHAMMAD katika mabii wa kale Tema ni jina la mtoto wa Nabii Ishmael baadae likawa jina la mji na huo mji ndio Saudi Arabia ya Sasa

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.

Sasa nyinyi wagalatia endeleeni tu kudanganywa na Wazungu
Hapa Walokele na wafia Israel wasipokuelewa basi kamwe hawataelewa
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
vp na wewe mwafrica ulitoka wapi....hamna sehemu historia inakutambua...
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.

Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo. Poleni mliozaliwa nje ya ndoa, sina budi kuongea ukweli

Tulia na mkeo acha mpango wa kando
 
1731979750606.png

1731979967923.png
 
Back
Top Bottom