Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Kuna hawa waarabu weusi wa Buza,Tandale nao asili yao wapi?
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Ety mliozaliwa nje shenz kweli 🤣siku akiwa rais, au waziri ilo neno. Nje ya ndoa utalitamka babu, sema mwanangu nakuunga mkono
 
Kuna sehemu jimeandika Ibrahim ni mzungu
Waisrael si waarabu wala si wazungu
Ni middle Eastern
Si kila aliyeoko mashariki ni muarabu mbona hujielewi ww

Wakurds ni waarabu??
waazeri ni waarabu??

Hujui vitu unakuja kutapika ujinga hapa

Hao wote ni waarabu isipokuwa ni kabila tofauti tu. Ni kama wewe mnyamwezi, na mkikuyu na wazulu au ibo kutoka Nigeria. Wote nyinyi ni waafrika isipokuwa kabila tu ndio tofauti.

Hata hao Israel wote sio kabila moja kuna makabila tofauti ndani ya Israel yenyewe. Na ndio mana Kitabu cha Nabii Musa cha Taurati kimeshuka kwa lugha tofauti na Kitabu cha Injili. Kwa sababu hawa Mitume pamoja na kuwa wote ni Israel lakini walikuwa kabila tofauti

Urudi kwanza shule ndugu yetu
 
Hivi kwani Ibrahim mwenyewe alikuwa mzungu? Ibrahim alikuwa mwarabu aliyezaliwa na kukulia Iraq wakati huo ikiitwa Babylon.
Ibrahim alihamia nchi nyengine ya waarabu inayoitwa Falastin akakaa hapo mpaka akafariki hapo.

Kwa hivyo mwarabu akihama nchi ndio anabadilika kuwa mzungu au? Hao Israel ni kabila tu ila ni waarabu pure.

Ni kama Mtanzania ahamie Ghana hapo utasema huyu sio muafrika?

Nyie wenzetu Wakristo muende mkapimwe kwanza akili zenu sio kwa umbumbumbu huu
Waisraeli sio wazungu.

Wamasai yenyewe ni moja ya makabila ya Israel.
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Huu ndio upuuzi wa kubeba maandiko kama unasoma gazeti la sani

Je na sisi wamatumbi nini zao upi?
 
usilazimishe sasa unachoamin uwe ukweli
Hutaki ulazemishwe kuamini wanacho kiamini wengine ila ww unataka kuwalazimisha wengine wanamini kile unacho kuamini ww?

Kweli wewe jamaa una kila sifa ya kuwa mtoto wa zinaa huyo unaye muita baba yako alibambikiziwa tu.
Kwanza hata avatar yako inakuonesha ww ni mtu gani maana huwezi kuwa shabiki wa hao waimba matusi alafu ukawa na akili kichwani.
 
kwan we unadhan kila mtu yupo timamu??
huyo si kama ww tu kuambiwa kuna bikra 72 una akili hata moja kweli?
kwamba mbinguni ni mahali pa kufanyia uzinzi
Na nyinyi mnao sema mtaenda kuimba mabapimbio mbinguni ni kwamba mbinguni ni ukumbi wa disco au?
 
Waisraeli sio wazungu.

Wamasai yenyewe ni moja ya makabila ya Israel.
Wamaasai hawa hawa wa Monduli, Longido, Ngorongoro, Simanjiro na Kilosa??? hawa Wamaasi vichwa ngumu hawawezi kuwa miongoni mwa kabila za Israel.
 
Hukuzisoma World wars, Cold War, Korean War, Vietnam war, hukusoma walichofanya makomunisti akina Stalin, Pol Pot, Mao na wenzao, Bolsheviks waliua mamilioni.

Kasome kitu inaitwa Holodomor.

Hitler alipowaua mayahudi milioni 6 sijui hujasikia habari zake. Akina Leopold wa pili. Dunia inakuwa sio salama zaidi akina nani wakipigana? Urusi na Ukraine wamepigana vita vinaanza kila mtu ana wasiwasi. Korea wakitaka kupigana kila mtu ana wasiwasi. Kwa sababu wanajua ni akina nani hasa ndio wanatishia zaidi kuichoma moto amani ya dunia. Hao mayahudi (mazayuni) wenyewe waliofukuzwa na wasio waarabu huko Ulaya wakakimbilia nchi ya watu mashariki ya kati ni waleta fujo na watu wenye kuleta uharibifu. Kasome tu /ka google Samson Option uone ni watu wa aina gani! Na usisahau Waarabu hawajawahi kutumia mabomu ya nyuklia hata kidogo.

Mola wetu Allah ametakasika
Huyo ndg asipokuelewa hapa basi atakuwa na kichwa kama cha kuku.
 
Ebu acha kumchanganya Molla na Allah
Mola ni mwenyezi mungu
Allah ni Mungu Ba-Al
Huyo ni mgtu moja katika lugha mbili tofauti. Ni sawa tu na wewe Mswahili unasema Mungu, then Watoto wa malkia wanamuita God. Kwa Kiarabu ndo Allah. Usichanganywe na lugha. Mimi kwa lugha yangu Mungu tunamuita Loa.
 
Wamaasai hawa hawa wa Monduli, Longido, Ngorongoro, Simanjiro na Kilosa??? hawa Wamaasi vichwa ngumu hawawezi kuwa miongoni mwa kabila za Israel.
Tusiongelee mate wakati wino upo.
Screenshot_20240830_035031_Chrome.jpg
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
We unahakika marehemu uliyekuwa una muita baba ndiye mzazi wako?
 
Hiyo Maasai Haina uhusiano na Wamaasai. Kwenye Biblia Kuna hadi jina OMARI na MUSHI. LAKINI haina maana kwamba na Wachanga ni Moja ya kabila za Israel. Ni majina tu.
Wamaasai ni Hemites yaani uzao wa Ham wakati Waisrel asili ni Shemites yaani uzao wa Shemu.
 
Back
Top Bottom