Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #41
ndio baba wa ishmael mtoto wa nje ya ndoaIbrahim anahusika vipi hapo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio baba wa ishmael mtoto wa nje ya ndoaIbrahim anahusika vipi hapo ?
ndio kabisaSawa kabisa. Hata waturuki na Waitan siyo Waarabu
yako mawazo mtembeo ni yapiwacha mawazo mgando!
Ishmael ndio chanzo cha Waarabu na usilamu ?....hii nadharia mnaipata wapi ?ndio baba wa ishmael mtoto wa nje ya ndoa
Ndioo ishmaeli alitengeneza dini yake,ambayo ni uislamKwa hiyo ndio kusema Islamia wote ni kizazi cha Ishmael ambaye ndio mtoto wa nje ya ndoa!!??
Nani alikuambia Ibrahim ni myahudi?Karudie kusoma vizuriMtoto wa myahudi Ibrahim hawezi zaa mwarabu.
Ishmael ni myahudi kwa baba.
No.....Ndioo ishmaeli alitengeneza dini yake,ambayo ni uislam
baba wa waarabu wote ni ishmaelIshmael ndio chanzo cha Waarabu na usilamu ?....hii nadharia mnaipata wapi ?
Uislamu umekuja baadae sana baada ya Ukristo kutangulia, Sasa hapo Ibrahim anahusika vipi?.
Soma biblia utaelewa ishmael ndio alileta uislam akajenga msikiti gazaNo.....
Uislamu umekuja Karne nyingi mno baada ya Ukristo kutangulia Sasa hapo Ishmael anahusika vipi na Uislamu.
Si myahudi ila ndio baba wa babu na baba yake yakobo ambaye ndo chanzo cha wayahudiNani alikuambia Ibrahim ni myahudi?Karudie kusoma vizuri
heeee uislam uliletwa na mohamedSoma biblia utaelewa ishmael ndio alileta uislam akajenga msikiti gaza
Sure ?Soma biblia utaelewa ishmael ndio alileta uislam akajenga msikiti gaza
Ishmaeli anahesabiwa nabii muhimu na babu wa Muhammad, mwanzilishi wa dini ya Uislamu.Sure ?
SureSoma biblia utaelewa ishmael ndio alileta uislam akajenga msikiti gaza
baba wa waarabu wote ni ishmael
baba wa waisrael na baba wa baba wa waisrael ni Isaka
Okay!.... lakini wakati huo uislamu ulishakuwepo duniani ?....
Okay!.... lakini wakati huo uislamu ulishakuwepo duniani ?....
AiseeOkay!.... lakini wakati huo uislamu ulishakuwepo duniani ?....
Ukiwaona waarabu uwe unainama unawabusu miguu yao.Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli