uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Huu sasa uchochezi, ni sawa na umuambia Budh kwamba Osama kaonekana Pentagon!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachekesha.Kwa asili Wakurdi mtoto anamchukua kabila la Mama. Hivyo, bila shaka Ismael alipaswa kuwa Msubi. Sasa Kwa vile Waafrika huwa mna unaguzi Kwa half cast, basi labda Ismail aliiamua kuanzisha kabila jipya, likaja kuutwa wa Arabia maana Ismail malazi yake aliyaweka ktk jangwa la ARABIA
Warabu wamekufanya Nini ndugu tujuze na sisi tujueNikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
ibrahim angetulia, dunia hii ingekuwa salama na ya amani sana bila waarabu wala uislam.Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Ibrahim alikuwa myahudi?Mtoto wa myahudi Ibrahim hawezi zaa mwarabu.
Ishmael ni myahudi kwa baba.
Hujitambui mbona waisrael pia wametokana na mimba za nje ya ndoa? Au hujui yakobo alizaa na vijakazi wake? Huna akili kabisaNikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
tangulia milembe ukifika waambie maagizo ya RCNikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.
Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.
Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.
Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Utaanza ww! usiokubaliana na ukwelitangulia milembe ukifika waambie maagizo ya RC
Kuna sehemu jimeandika Ibrahim ni mzunguHivi kwani Ibrahim mwenyewe alikuwa mzungu? Ibrahim alikuwa mwarabu aliyezaliwa na kukulia Iraq wakati huo ikiitwa Babylon.
Ibrahim alihamia nchi nyengine ya waarabu inayoitwa Falastin akakaa hapo mpaka akafariki hapo.
Kwa hivyo mwarabu akihama nchi ndio anabadilika kuwa mzungu au? Hao Israel ni kabila tu ila ni waarabu pure.
Ni kama Mtanzania ahamie Ghana hapo utasema huyu sio muafrika?
Nyie wenzetu Wakristo muende mkapimwe kwanza akili zenu sio kwa umbumbumbu huu
Haya maandiko ya Quran mzeeeHujitambui mbona waisrael pia wametokana na mimba za nje ya ndoa? Au hujui yakobo alizaa na vijakazi wake? Huna akili kabisa
Ibrahim alikuwa myahudi?
ili kukujibu hilo lazima ujue myahudi ni naniIbrahim alikuwa myahudi?
Wameifanya dunia siyo mmWarabu wamekufanya Nini ndugu tujuze na sisi tujue
kwaiyo ukimuona usisemeHuu sasa uchochezi, ni sawa na umuambia Budh kwamba Osama kaonekana Pentagon!!!
mbona huchekUnachekesha.
Ibrahim anahusika vipi hapo ?ibrahim angetulia, dunia hii ingekuwa salama na ya amani sana bila waarabu wala uislam.
Sawa kabisa. Hata waturuki na Waitan siyo WaarabuKuna sehemu jimeandika Ibrahim ni mzungu
Waisrael si waarabu wala si wazungu
Ni middle Eastern
Si kila aliyeoko mashariki ni muarabu mbona hujielewi ww
Wakurds ni waarabu??
waazeri ni waarabu??
Hujui vitu unakuja kutapika ujinga hapa
ndio yaan si wanaume mara nyingine tunakua na maamuzi ya kifalaMzee Abraham alikosea Sana kusikiliza ushauri wa Mkewe, akasahau Yuko Mungu aliyekuwa Msaada wake