Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Mtoto wa nje Ishmael alituletea waarabu. Nimejifunza kutulia kwene ndoa

Ukiwaona waarabu uwe unainama unawabusu miguu yao.
Wamekuletea namba unazotumia,
wamekuletea Algorithm unayo tumia program za computer Leo,
Wamekuletea Algebra yenye matumizi kemken kwenye sayansi.
Wamekuletea sea navigation kwa usafiri baharini hata hao wanaitwa wavumbuzi walitumia mbinu na vifaa vya waarabu kusafiri baharini.
Wamekuletea to Astronomy - robo tatu ya nyota unaziona kwa macho zinatumia majina ya kiarabu hadi Leo.
Wamekuletea lugha ya kiswahili inayo jumuisha watu karibu milioni 150
Wamekuletea chemistry hata neno chemistry asili yake ni kiarabu.
Wamechangia vikubwa kwenye elimu ya tiba na vifaa vingi vya tiba.
Wameleta elimu na vifaa vya maandishi Yani karatasi na kalamu hapa Afrika mashariki na hususan Tanzania watu wakikuwa wanawasaliana kwa maandishi miaka elfu na zaidi kabla wazungu hawajaja.
Ni msururu mwingi sana wa mchango wa waarabu kwenye nyanja zote
Jiulize wewe umechangia kipi duniani ? Zaidi ya kumaliza oxygen na kuongeza gesi ya ukaa kwenye mazingira.
Soma mtandaoni kabla ya kubwatuka
Mimi naelewa waarabu hawana akili kama we unawaona hivo ni kwasababu umejaza utumwa kichwani na wamekuaminisha hivo kupitia madrasa
 
Mama yake Ishmael alitoka Misri ya kale....huenda alikuwa mtu mweusi na sio mwarabu.

zitto junior
Yes; Misri ya kale ilikua ya weusi na sio Waarabu. Waarabu ni product ya Mu Iraq 1 na mama wa Kimisri so wale Waarabu ambao wanakaa sasa Misri ni kwamba walihamia UJOMBANI.
 
Ukiwaona waarabu uwe unainama unawabusu miguu yao.
Wamekuletea namba unazotumia,
wamekuletea Algorithm unayo tumia program za computer Leo,
Wamekuletea Algebra yenye matumizi kemken kwenye sayansi.
Wamekuletea sea navigation kwa usafiri baharini hata hao wanaitwa wavumbuzi walitumia mbinu na vifaa vya waarabu kusafiri baharini.
Wamekuletea to Astronomy - robo tatu ya nyota unaziona kwa macho zinatumia majina ya kiarabu hadi Leo.
Wamekuletea lugha ya kiswahili inayo jumuisha watu karibu milioni 150
Wamekuletea chemistry hata neno chemistry asili yake ni kiarabu.
Wamechangia vikubwa kwenye elimu ya tiba na vifaa vingi vya tiba.
Wameleta elimu na vifaa vya maandishi Yani karatasi na kalamu hapa Afrika mashariki na hususan Tanzania watu wakikuwa wanawasaliana kwa maandishi miaka elfu na zaidi kabla wazungu hawajaja.
Ni msururu mwingi sana wa mchango wa waarabu kwenye nyanja zote
Jiulize wewe umechangia kipi duniani ? Zaidi ya kumaliza oxygen na kuongeza gesi ya ukaa kwenye mazingira.
Soma mtandaoni kabla ya kubwatuka
Daa
 
Suleiman baba wa Mayahudi aliyejenga hekalu na kuwa na milki isiyo mfano alikuwa mtoto wa nje ya ndoa! Kwa tafsiri yako!
Ingawa huyu mama yake aliolewa kabisa but Hajiri hakuolewa, Ibrahim alipiga mara moja tu na kitu hicho then baadae mwenye nyumba akamfukuza tena. Ila wanawake ni wabinafsi sana yaani; alimtafutia matatizo mwanamke mwenzie halafu baada ya kufanikiwa kupata alicho kitaka, kamfukuza tena. Inahunisha sana
 
ndio baba wa ishmael mtoto wa nje ya ndoa
Nje ya ndoa ipi? Kwani Ibrahimu alikuwa na kifungo Cha Kikatoli Cha kuwa na mke Moja hadi kufa??
Hajira alikuwa mke halali wa Ibrahimu na hakuwa na agano la mke Moja. Ndo hata wakati wa baraka Mungu alikbariki Ishmael na kumzidisha na kumfanya kuwa baba wa Mataifa 12.
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli

Lakini umesahau kitu mkuu, aliye muingiza chaka ni mke wake.Alimsukumia kwa housegirl. Ibrahimu alikuwa mtulivu tu, ila ili kumridhisha mke ikabidi atii maelekezo. Bado mpaka sasa baadhi ya wanawake wanafanya hivyo hivyo ila kwa njia iliyoboreshwa zaidi 😃😃😃,mfano kumuachia majukumu yote msichana wa kazi
 
Mimi naelewa waarabu hawana akili kama we unawaona hivo ni kwasababu umejaza utumwa kichwani na wamekuaminisha hivo kupitia madrasa
Mtu kumuona ana akili au lah ni mtazamo wa mtu binafisi mfano mm ninakuona ww kama mtu mpumbavu na usie na akili kutokana na uharo wako ulio uandika hapo.
Kwanza ww una uhakika gani kama ww ulizaliwa ndani ya ndoa je kama mama yako alichepuka alafu akambambiakia baba yako mimba?

Cha kushangaza waarabu wasio kuwa na akili wameweza kutumia rasilimali walizo pewa na mungu kuufanya maisha ya raia wao kuwa bora .
Wakati nyinyi wenye akili mpo hapa mnanuka umasikini mpaka makwapani hata vitu vya kawaida kama maji na vyoo mashuleni mmeshindwa kuvitatua

Cha kushangaza zaidi waarabu wasio na akili ndo wanao miliki %80 ya uchumi wa taifa lako wakati nyinyi wenye akili ndo machawa na vibarua wao kwenye viwanda vyao na wanawatumikisha kama mambwa kwa ujira mdogo.

Hivi ww muafrica una nini cha maana kitakacho kupa haki ya kumuona mwarabu kuwa hana akili?😀😀😃😀😀😃.
 
Nikiangalia waarabu walivoitenda dunia nimekuja kujifunza Kumsikiliza mungu.
Akikwambia tulia kwene ndoa ana maanisha.

Akikwambia oa mke mmoja wewe na mkeo muwe mwili mmoja ana maanisha.


Ukitenda unayoyajua utaiumiza dunia na ukoo wako na kizazi chako.

Mtoto wa nje ya ndoa siyo
Poleni mliozaliwa nje ya ndoa ,, sina budi kuongea ukweli
Sijawahi ona logic ya wakristo kuwachafua manabii wote na mara ibrahim alizini na kija kazi mara nuhu alilala na wanae hivi mnakuwa na shida gani .
Sisi waislam Ibrahim alimuoa kijakazi baada ya mkewe Sara kukosa mto
 
Nje ya ndoa ipi? Kwani Ibrahimu alikuwa na kifungo Cha Kikatoli Cha kuwa na mke Moja hadi kufa??
Hajira alikuwa mke halali wa Ibrahimu na hakuwa na agano la mke Moja. Ndo hata wakati wa baraka Mungu alikbariki Ishmael na kumzidisha na kumfanya kuwa baba wa Mataifa 12.

Nakushauri kwa unyenyekevu mkubwa, Ibrahim siyo mtu wa kawaida, ni kipenzi cha Mungu, ni baba wa Imani

Kumuogelea kwa kejeli, matusi, kumvunjia heshima unajitafutia balaa mbele ya mwenyezi Mungu.

Unamsingizia Uzinifu kipenzi cha Mungu, hivi unajua cosequences yake spiritually?
 
Sijawahi ona logic ya wakristo kuwachafua manabii wote na mara ibrahim alizini na kija kazi mara nuhu alilala na wanae hivi mnakuwa na shida gani .
Sisi waislam Ibrahim alimuoa kijakazi baada ya mkewe Sara kukosa mto
kuongra ukweli si kuchafua
nyie kwenu ukweli ni mwiko
 
Nakushauri kwa unyenyekevu mkubwa, Ibrahim siyo mtu wa kawaida, ni kipenzi cha Mungu, ni baba wa Imani

Kumuogelea kwa kejeli, matusi, kumvunjia heshima unajitafutia balaa mbele ya mwenyezi Mungu.

Unamsingizia Uzinifu kipenzi cha Mungu, hivi unajua cosequences yake spiritually?
Analaana huyo ya Mungu wa damu na na jangwa
 
Mwarabu ameleta maafa yote tuliyonayo duniani leo. Watu wanauliwa kwa jina la kitu cha kufikirika kinaitwa Allah
Hukuzisoma World wars, Cold War, Korean War, Vietnam war, hukusoma walichofanya makomunisti akina Stalin, Pol Pot, Mao na wenzao, Bolsheviks waliua mamilioni.

Kasome kitu inaitwa Holodomor.

Hitler alipowaua mayahudi milioni 6 sijui hujasikia habari zake. Akina Leopold wa pili. Dunia inakuwa sio salama zaidi akina nani wakipigana? Urusi na Ukraine wamepigana vita vinaanza kila mtu ana wasiwasi. Korea wakitaka kupigana kila mtu ana wasiwasi. Kwa sababu wanajua ni akina nani hasa ndio wanatishia zaidi kuichoma moto amani ya dunia. Hao mayahudi (mazayuni) wenyewe waliofukuzwa na wasio waarabu huko Ulaya wakakimbilia nchi ya watu mashariki ya kati ni waleta fujo na watu wenye kuleta uharibifu. Kasome tu /ka google Samson Option uone ni watu wa aina gani! Na usisahau Waarabu hawajawahi kutumia mabomu ya nyuklia hata kidogo.

Mola wetu Allah ametakasika
 
Hukuzisoma World wars, Cold War, Korean War, Vietnam war, hukusoma walichofanya makomunisti akina Stalin, Pol Pot, Mao na wenzao. Hitler alipowaua mayahudi milioni 6 sijui hujasikia habari zake. Akina Leopold wa pili. Dunia inakuwa sio salama zaidi akina nani wakipigana? Urusi na Ukraine wamepigana vita vinaanza kila mtu ana wasiwasi. Korea wakitaka kupigana kila mtu ana wasiwasi. Kwa sababu wanajua ni akina nani hasa ndio wanatishia zaidi kuichoma moto amani ya dunia. Hao mayahudi (mazayuni) wenyewe waliofukuzwa na wasio waarabu huko Ulaya wakakimbilia nchi ya watu mashariki ya kati ni waleta fujo na watu wenye kuleta uharibifu. Kasome tu /ka google Samson Option uone ni watu wa aina gani! Na usisahau Waarabu hawajawahi kutumia mabomu ya nyuklia hata kidogo.

Mola wetu Allah ametakasika
Ebu acha kumchanganya Molla na Allah
Mola ni mwenyezi mungu
Allah ni Mungu Ba-Al
 
Back
Top Bottom