Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Mtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.

Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.

Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.

Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?

P
Hapo kwenye bold bro wako yupi huyo alietangulia?
 
Naona Kuna tatizo la uwasilishaji wa taarifa yako.

Taarifa haieleweki hata kidogo

Ingekuwa kwenye mambo ya research tungesema Kuna Research gaps nyingi ambazo watu wengine wanalazimika kwenda kuzifanyia tafiti upya.

======

Tukiwa kama Wazazi, tungependa sana kuona watoto wa viuno vyetu wanakuwa na akili pamoja na Busara kama Wazee wao, lakini bahati mbaya ni vigumu kupata watoto wa namna hiyo wote.
 
Naona Kuna tatizo la uwasilishaji wa taarifa yako.

Taarifa haieleweki hata kidogo

Ingekuwa kwenye mambo ya research tungesema Kuna Research gaps nyingi ambazo watu wengine wanalazimika kwenda kuzifanyia tafiti upya.

======

Tukiwa kama Wazazi, tungependa sana kuona watoto wa viuno vyetu wanakuwa na akili pamoja na Busara kama Wazee wao, lakini bahati mbaya ni vigumu kupata watoto wa namna hiyo wote.

Lazima utakuta wengine wa namna hii wanapatikana.

Na ingekuwa unaweza kujua mapema kwamba unapata mtoto wa namna hiyo, mtu ulikuwa na uwezo wa kumwagia nje tu ili kuepusha madhira yanayoweza kutokea
Chunga ulimi wako. Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Pombe za jana bado hazijakuisha kichwani? Umeandika kitoto sana. Unategemea tuanze kukuuliza ni nani? Yupi huyo? Ili iweje? Kama huwezi kuandika vizuri kaa kwa Mama kunywa chai
 
Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Mtoa taarifa Nyerere ana watoto wengi,ni yupi huyo? Au Steve yule wa mama ongea na mwanao?
 
Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Nut………😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom