Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Riz anapanda ndege wewe unapasua na basiNipo hapa Shigmark Lodge.
Lakini nipo transit. Basi linaondoka saa kumi( kamili). Nakwenda Dar.
Dunia haijawahi kuwa na usawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Riz anapanda ndege wewe unapasua na basiNipo hapa Shigmark Lodge.
Lakini nipo transit. Basi linaondoka saa kumi( kamili). Nakwenda Dar.
Utafikia msasani kwa bimkubwaNipo hapa Shigmark Lodge.
Lakini nipo transit. Basi linaondoka saa kumi( kamili). Nakwenda Dar.
Safari njema. Nilifikiri bado upo upo tuonane hapa Rocky City Sato Sangara tujilipue.Nipo hapa Shigmark Lodge.
Lakini nipo transit. Basi linaondoka saa kumi( kamili). Nakwenda Dar.
Huo ukoo una shida ya madishi kuyumbaAna matatizo gani
Steve au yeriko?Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Hii habari haijakamilikaHabari ina gapes nyingi mtoa mada anadhani watu wote wanawajua hao watoto wa Nyerere ..all in all kijiji kizima hadi wakae kikao dhidi ya mtu mmoja basi huyo mtu atakuwa na matatizo tu
Andrew Mzee atawahujumu vipi watoto wa Shule ya MsingiMtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.
Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.
Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P
AahaaaaUnatumia kilevi gani mkuu?
Kazi kweli kweliMtoto wa Nyerere ndo Andrew ana umri 71 yrs now
Ni vizuri akawekewa misingi imara mtoa mada ndo Andrew mwenyewe
😂😂😂😂😂Aliyefukuzwa kajitolea taarifa yake. 🤣🤣🤣
Andrew una shida pahala. Huenda babayo aliingia maagano ya kukufanya mwendawazimu ili kuwa Rais wa Tanganyika.
AahaaaPale habari inapokuacha na maswali lukuki
Umewafanyaje watoto wa shule?Nipo hapa Shigmark Lodge.
Lakini nipo transit. Basi linaondoka saa kumi( kamili). Nakwenda Dar.
Mohamed Said tueleze hicho kilichofanywa na wazee wa Dar es salaam.Usifanye mchezo na harakati za kudai uhuru, watafute wazee wa Dar es Salaam wakwambie pilika walizozifanya...
Vingine sio vya kuandika sababu kuna watu hawaamini mambo meusi...
Na huyu pia. Anaitwa Andrew. Watu wanaokaa Msasani hasa miaka ya nyuma wanamjua sana kwani ni maarufu sana maeneo hayo. Haya maneno na watu na mtu mzuri sana. Msomi mzuri. Ila ndiyo hivyo kuna wakati anakuwa kama kuna nati imekatika.🤣
Siijawahi kumsikia kabisa Mkuu, niliopata kuwasikia ni
- Makongoro
- Madaraka
- Rose
- John (kama sijakosea)
Asante mkuu kunifungua ufahamuNa huyu pia. Anaitwa Andrew. Watu wanaokaa Msasani hasa miaka ya nyuma wanamjua sana kwani ni maarufu sana maeneo hayo. Haya maneno na watu na mtu mzuri sana. Msomi mzuri. Ila ndiyo hivyo kuna wakati anakuwa kama kuna nati imekatika.