Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Hapo kwenye bold bro wako yupi huyo alietangulia?
 
Naona Kuna tatizo la uwasilishaji wa taarifa yako.

Taarifa haieleweki hata kidogo

Ingekuwa kwenye mambo ya research tungesema Kuna Research gaps nyingi ambazo watu wengine wanalazimika kwenda kuzifanyia tafiti upya.

======

Tukiwa kama Wazazi, tungependa sana kuona watoto wa viuno vyetu wanakuwa na akili pamoja na Busara kama Wazee wao, lakini bahati mbaya ni vigumu kupata watoto wa namna hiyo wote.
 
Chunga ulimi wako. Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Pombe za jana bado hazijakuisha kichwani? Umeandika kitoto sana. Unategemea tuanze kukuuliza ni nani? Yupi huyo? Ili iweje? Kama huwezi kuandika vizuri kaa kwa Mama kunywa chai
 
Mtoa taarifa Nyerere ana watoto wengi,ni yupi huyo? Au Steve yule wa mama ongea na mwanao?
 
Nutβ€¦β€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…