CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Brother Andrew unazingua sana ujue, wewe wa kugombea hela na vijukuu kweli?Tatizo pale ni kwamba wanafika viongozi wengi wa kitaifa. Kwa mfano wiki iliyopita nilimuona na kusalimiana na yule mdada anayeongoza Uhamiaji.
Sasa Hawa wageni wakati mwingine wanagawa hela.
Sasa katika kuzigombania hizi hela ndio mimi napata hizi kesi za kumbambikiziwa.
Naandika hii sio kuanzisha mjadala,ila kuufunga huu mjadala
Lakini kitambo mbona yuko mjini 😄...nlipishana naye siku wakati fulani mitaa ya barabara ya shule ya feza pale mikocheni...nikataka kumsalimia akahama barabaraHii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Andrew ana vituko sanaHuyu mzee Andrew ni mwezi mchanga.
Anagombea hela zina picha ya baba yake?Brother Andrew unazingua sana ujue, wewe wa kugombea hela na vijukuu kweli?
Anavituko sana jamaaAnagombea hela zina picha ya baba yake?
Tulia,huyo mtoa mada ndio mtoto wa nyerere anayeongelewa na mtoa mada.Hii ndiyo lile tatizo la tabia ya kuwa wa kwanza kuandika story!.
Sasa huu ufukara
Nafkiri yupo kote Dar-butiama darLakini kitambo mbona yuko mjini 😄...nlipishana naye siku wakati fulani mitaa ya barabara ya shule ya feza pale mikocheni...nikataka kumsalimia akahama barabara
😄
Ngoja siku nkiwa dar nimtimbie pale kwao 😄
Ova
Huko Butiama ndiyo ameshakunya hawamtaki watakuja kumchoma moto bure.Nafkiri yupo kote Dar-butiama dar
Sasa wee babuu, si uende kwa Rais muambie akupe fungu LA pesa uanzishe biashara yako.Tatizo pale ni kwamba wanafika viongozi wengi wa kitaifa. Kwa mfano wiki iliyopita nilimuona na kusalimiana na yule mdada anayeongoza Uhamiaji.
Sasa Hawa wageni wakati mwingine wanagawa hela.
Sasa katika kuzigombania hizi hela ndio mimi napata hizi kesi za kumbambikiziwa.
Naandika hii sio kuanzisha mjadala,ila kuufunga huu mjadala
Hapa sasa ndo nimeelewa kumuhusu huyo Andrew.Uangalizi upi mtu anaweza hadi kutoroka Jwtz,anapanda bus,anasikiliza radio na hata ukiongea nae km we mwandishi ujipange.
Uzuri hagombani na mtu,ingekua wengine ungesikia 'unanijua mimi nimepigana vita kagera,mtoto wa Nyerere'
Haitaji uangalizi wowote,
Wale waliomfuata kule butiama kawatoroka ndio hao wa kumpeleka uangalizi maalum anawakimbia na anawafungulia sredi JF.
Ni kumuacha tu maisha yake ndo hayo.
Mnasema hataki kutoka kwao,
kumbe Mama hataki atoke nyumbani,
na mtoto babu nae hataki kutoka kwa mamaake amuache mpweke.
Tunae ndugu wa namna hiyo walipomchoka wakapeleka kijijini.
Walishangaa jamaa karudi home na baiskeli,ukiiona utachoka.
Aliipataje hatujui
Kwani ana matatizo gani huyo Andrew? Kwanini Makongoro asimpe mahitaji yake huyo Kaka ake?Lakini kitambo mbona yuko mjini [emoji1]...nlipishana naye siku wakati fulani mitaa ya barabara ya shule ya feza pale mikocheni...nikataka kumsalimia akahama barabara
[emoji1]
Ngoja siku nkiwa dar nimtimbie pale kwao [emoji1]
Ova
Kwa Nyerere imezidi,Katika familia sio wote wanabarikiwa, kuna mmoja lazima awe issue! Fanya uchunguzi wa kina unijibu bila unafiki.
Huyo akipewa fungu la hela ndiyo zinampeleka kaburini kabla ya muda wake.Sasa wee babuu, si uende kwa Rais muambie akupe fungu LA pesa uanzishe biashara yako.
Unakubali vipi watoto wa marais wengine wanakula raha, afu nyie apeche alolo, fanya ukachukue pesaa huko hazina.
Kwani huyo Makongoro mwenyewe mzima sana basi, ni kumsitiri tu lakini naye dish haliko stable .Kwani ana matatizo gani huyo Andrew? Kwanini Makongoro asimpe mahitaji yake huyo Kaka ake?
Sasa mbona anagombania pesa na vijakazi wa nchi? Si aibu hii naamini hata Nyrere Sir anasikitika huko.Huyo akipewa fungu la hela ndiyo zinampeleka kaburini kabla ya muda wake.
Nyerere kuna kitu alifanya kwa watoto wake, sio buree.Kwani huyo Makongoro mwenyewe mzima sana basi, ni kumsitiri tu lakini naye dish haliko stable .
hahahaaaaaaa... eti kwa nini anakubali kuwa apeche alolo wenzake wanakula bata....Sasa wee babuu, si uende kwa Rais muambie akupe fungu LA pesa uanzishe biashara yako.
Unakubali vipi watoto wa marais wengine wanakula raha, afu nyie apeche alolo, fanya ukachukue pesaa huko hazina.