Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Ni kweli wanaishi na mama yao kahela kote anapata yule Mama zinaishia kutunza mijitu mizima yente familia zao na wajukuu na vitukuu

Wakati ajira walishawahi kupata tena nzuri tu kama watanzania wenzao lakini wao kujitegemea imeshindikana tofauti na watoto wa maraisi wengine kama Mwinyi kikwete,Magufuli na Samia
Hadi Makongoro analelewa na mama Maria? Sasa pesa za U RC anapeleka wapiii?
 
Ni yeye mwenyewe. Akilewaga anaenda kaburini kwa Baba yake kufanya vurugu na kumuuliza kwanini Baba umetuacha fukara ilhali Liz na Abdul wanakula maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo nimecheka sana, ila Nyerere uzalendo wake ulizidi, ndo kuacha watoto mafukara aaaah.

Nayo serikali kwann isiwawekee mazingira bora hawa watoto wa baba wa Taifa.
 
Mtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.

Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.

Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.

Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?

P
Asee mani una harakati nyingi ila nyingi zinaishia kama yule pimbi wa sani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo nimecheka sana, ila Nyerere uzalendo wake ulizidi, ndo kuacha watoto mafukara aaaah.

Nayo serikali kwann isiwawekee mazingira bora hawa watoto wa baba wa Taifa.
Nyerere aliwasomesha wote na kazi walipata wote.kama watoto wa watanzania wengine

Sasa ulitaka Nyerere awafanyie nini tena jamani? Au watanzania tuwafanyie nini cha ziada? Waliopigania uhuru ni wengi na wana watoto wao lakini hawasumbui na wansjitegemea baada ya kusoma na kuajiriwa

Hakuna mtoto wa Nyerere aliyewahi kukosa ajira
 
mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka
Huwa awashauri chadema kumtreat tundu lisu hivyo hivyo. Ni ndugu yetu, lakini mwezi ukiwa kona anaweza kuropoka kitu chochote mpaka mkashangaa.
 
Mtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.

Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.

Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.

Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?

P
Mkuu
P
Vipi deo kisandu anahitaji nni?
 
Back
Top Bottom