Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Matacle yako wewe, kuna mahala imetajwa kampuni yake hapo? Kwanini kuwe na usiri? Maffisi nyieHuyo dogo dhumuni la kwenda hapo ni kuwasilisha mradi wake wa kuzalisha umeme wa Jua megawati 20 ambao Rais Museveni ameupitisha. Hilo la kuwepo njia ya umeme kuja Mwanza sio mradi wake na taarifa imesema hivyo. Wamezungumza haja ya kuwepo kwa hiyo njia sio kwamba ndo mradi uliompeleka Uganda
Wapi imesemwa kuna usiri? Hilo la kutaja kampuni kamuulizeni Museven aliyeandika hiyo Tweet!!Matacle yako wewe, kuna mahala imetajwa kampuni yake hapo? Kwanini kuwe na usiri? Maffisi nyie
Hiyo kampuni yake inaitwaje na ina miaka mingapi katika biashara? Imeshafanya projects ngapi ndani na nje ya nchi? Tuwekee sifa za hiyo kampuni.Nini maana ya neno delegation? Umesoma wapi?
Hahahaha 🤣 hasira Huwa kisaikolojia maana yake umeshindwa hoja Sasa unaamua liwalo na liwe! Unamwaga vyote mboga na ugali!!Matacle yako wewe, kuna mahala imetajwa kampuni yake hapo? Kwanini kuwe na usiri? Maffisi nyie
Hilo swali sisi la nini? Linatusaidia nini?Hiyo kampuni yake inaitwaje na ina miaka mingapi katika biashara? Imeshafanya projects ngapi ndani na nje ya nchi? Tuwekee sifa za hiyo kampuni.
Kwangu mimi it is not an issueHili nalo la ni ajenda tayari,kuzunguka nchi nzima kulitangaza.
Kama huamini kuwa CCM inashinda kihalali basi hama nchi ndugu yangu maana CCM ndio chaguo la watanzania na utaendelea kuiona kwa miaka mingi sana katika uhai wakoSasa kwanini CCM isishinde wakati nchi imejaa mazezeta kama wewe? Viumbe kama wewe hujui baya wala zuri mpo kama miroboti inayoendeshwa na rimoti tu, Kila kitu ni NDIO.
Na “delegation” maana yake nini? Au nikamuulize Museveni nalo?Hilo swali sisi la nini? Linatusaidia nini?
Nenda kamuulize Museveni aliyeidhinisha mradi wa hiyo kampuni kuzalisha megawati 20 za umeme Jua huko Uganda. Usitusumbue hapa
Ni kweli naamini bila kubisha CCM inashinda kihalali kwakuwa watu wenyewe hawajui hata kwanini wapo Duniani, vile CCM itashinda milele ndio vile vile Tanzania itakuwa masikini mileleKama huamini kuwa CCM inashinda kihalali basi hama nchi ndugu yangu maana CCM ndio chaguo la watanzania na utaendelea kuiona kwa miaka mingi sana katika uhai wako
Labda kaenda kama muwekezaji kwenye sekta ya NishatiRais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Maana yake ujumbeNa “delegation” maana yake nini? Au nikamuulize Museveni nalo?
hawa wapo kwenye payroll je huyu ni mtumishi idara gani? hao unaosema tayari wanajulikana ni waajiriwa hebu tumwambie huyu kaajiriwa wizara gani na kaajiriwa mwaka gani? kuna mmoja nasikia anauza matairi pale Kariakoo na halipi ushuru, sijui ndio huyu au ni mwingine. usifananishe mnazi na mbege japo zote ni pombe!amevunja ibara ipi ya katiba yetu? hii nayo ni post? Ulitaka asiajiriwe? Hivi watu mnawaza kwa kutumia viuongo gani? Hujui mtoto wa Museveni ni mkuu wa majeshi kule Uganda? Na je Rwanda unafahamu watoto wa Kagame wako ktk nafasi zipi. Mtoto wa rais ni dhambi kufanya kazi? Sijawahi ona mtu mpumbavu km wewe.
Kwani mtoto wa Rais hatakiwi kushika cheo Serikalini? Amevunja ibara ipi ya Katiba?Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.
Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!
Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!
Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!
View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Sasa hayo maswali yako sisi kama Tanzania yanatuhusu nini?Wapo wafanyabiashara wengi tu Watanzania Uganda. na Vivyohivyo Wafanyabiashara wengi tu Waganda Tanzania. Sio wote wanaopewa status ya "Delegation" from either countries kwa mkuu wa Nchi pasivyo kuwa wana Utambulisho kutoka Serikalini au Kwenye shirika au Kampuni inayotuma Ujumbe. Kama ni Kweli huyo Kijana ametumwa kama mjumbe tu, swali la kujiuliza ni kutoka Kampuni gani? Na je wanafuzu kuitwa Delegation from Tanzania as Opposed to Delegation From so so Company kutoka Tanzania. Na kama yeye ndio Mkuu wa Hiyo kampuni, ninavyomjua M7 angeandika aidha amekutana na CEO COO CFO what have you kama ilivyo. Huyo kapewa nguvu ya kiserikali.
Isitoshe hili nalo laweza kuwa ni mbinu mpya ya kututoa relini(mtakumbuka teua tengua wakati wa sakata lelote lile), yaani ni fupa tu la kumumunya wakati Bandari Inagawiwa kwa Wajomba.Kiufupi limetupwa fupa kuzima na kufunika mijadala hasi dhidi ya Serikali yetu.
Chaguo lako.
Ameenda kama nani Sasa? Tusaidie.amevunja ibara ipi ya katiba yetu? hii nayo ni post? Ulitaka asiajiriwe? Hivi watu mnawaza kwa kutumia viuongo gani? Hujui mtoto wa Museveni ni mkuu wa majeshi kule Uganda? Na je Rwanda unafahamu watoto wa Kagame wako ktk nafasi zipi. Mtoto wa rais ni dhambi kufanya kazi? Sijawahi ona mtu mpumbavu km wewe.