Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

Nani kakwambia kuwa mimi najipendekeza humu,kwa ushahidi upi,kwa hoja zipi. Unasema uongo sijui wa kuibwa hela ,unaweza kuweka huo ushahidi? Unaweza kuweka nyaraka kuthibitisha madai yako au mradi tu umejikurupukia huko na kuja hapa kuropoka uongo wako hapa?
9B9D87CD-E7A7-420B-B0BF-E78C86DCC3F7.jpeg


Shida yako ni uropokaji ata ukipewa information uwezi ona madhara yake.

Haya kwa sababu unawajua sana embu tuelezee source ya utajiri wake hizo Megawatts 20 wanazotaka kuwekeza huko ‘Nyowa District’ gharama yake wataalamu wanatuambia ni kama $20million, give or take.

Bado ujazungumzia gharama za kuagiza, kusafirisha hadi Uganda na kufunga hiyo mitambo si ajabu ikafika $25 million; tueleze hizo hela zinatoka wapi.

Acha kudhalilisha utu wako, it’s OK kutetea mambo ya CCM, ila huko kujipendekeza na kutetea majizi katika mambo yao Binafsi unatia aibu; sema na njaa zako sio ushushe utu wako hivyo.

Hata hao viongozi wanaopiga serikalini awawezi tetea upuuzi huo, seuse unaeshinda hapa na bundle la kuunga unga.
 
Msisitizo

" President Museven okayed proposal from the delegates to go ahead and develop the solar generation plant of 20 megawats in Nwoya District near Olwiyo substation in Northen Uganda"


Shida yenu ni kiingereza. Huyo Dogo ameenda kupeleka maombi ya kufanya mradi wake wa kuzalisha umeme wa jua megawati 20 huko Uganda.

Sasa shida iko wapi? Yeye ni mfanyabiashara na ameona fursa ya biashara ameitumia!

Acheni roho za kimaskini
Wewe ndo hujui kingereza. Endelea kulamba miguu ya Samia
 
View attachment 2715453

Shida yako ni uropokaji ata ukipewa information uwezi ona madhara yake.

Haya kwa sababu unawajua sana embu tuelezee source ya utajiri wake hizo Megawatts 20 wanazotaka kuwekeza huko ‘Nyowa District’ gharama yake wataalamu wanatuambia ni kama $20million, give or take.

Bado ujazungumzia gharama za kuagiza, kusafirisha hadi Uganda na kufunga hiyo mitambo si ajabu ikafika $25 million; tueleze hizo hela zinatoka wapi.

Acha kudhalilisha utu wako, it’s OK kutetea mambo ya CCM, ila huko kujipendekeza na kutetea majizi katika mambo yao Binafsi unatia aibu; sema na njaa zako sio ushushe utu wako hivyo.

Hata hao viongozi wanaopiga serikalini awawezi tetea upuuzi huo, seuse unaeshinda hapa na bundle la kuunga unga.
Acha kubishana ma walamba makalio ya wakubwa hawanaga akili hao
 
Mi naona sawa ili mradi auzi nchi bossy hivi ingekuwa wewe unahiyo fulsa hutoweka watoto na ndugu zako unataka awekwe nani sasa maisha nikuangalia boriti lako mie ingekuwa mie naweka hadi wasioona kwenye wizara Ya walemavu .

Maisha haya nikuenjoy maisha yako nawanaokuzunguka nakuwapa familia na waliokusitiri wadhifa mbali mbali ukitoka nani atampa mwanao ajulikane .

Kama wewe unampa watu wengine fulsa unawacha familia yako inateseka shame on you mtoa mada kabisa yaani
 
Nasikitika hadi sasa muuliza swali hajapata jibu la swali lake.

Watu wamekalia kutetea Chama na Utawala, hawajali tena maslahi ya Nchi.

Ingekuwa mawazo ya Watawala wa miaka hii angekuwa nayo Mwl. Nyerere basi angeshauza rasilimali zote za Nchi.

Mungu aendelee kumrehemu yule Mzee, alitanguliza maslahi ya Nchi mbele kuliko maslahi yake Binafsi.

Ndiyo maana hadi anafariki hujamsikia Mtoto wake hata mmoja ana Ukwasi licha ya Baba yao kuongoza Nchi hii miaka 24 🙌
 
Huko mbali sana. Huyo Hafidh hajaenda kwa mambo ya nchi. Kampuni yake binafsi inataka kuzalisha umeme wa jua huko Uganda.

Kosa liko wapi hapo? Kwa hiyo ukiwa Rais mtoto wako akiwa mfanyabiashara haruhusiwi kuendelea kufanya biashara zake? Hilo limeandikwa wapi?
Ahsante kwa ufafanuzi. Tatizo la Wabongo eti ukiwa mtoto wa Rais au Waziri unatakiwa uonekane maskini maskini huna kitu hapo ndio wanaridhika. Wajinga sana!
 
Nasikitika hadi sasa muuliza swali hajapata jibu la swali lake.

Watu wamekalia kutetea Chama na Utawala, hawajali tena maslahi ya Nchi.

Ingekuwa mawazo ya Watawala wa miaka hii angekuwa nayo Mwl. Nyerere basi angeshauza rasilimali zote za Nchi.

Mungu aendelee kumrehemu yule Mzee, alitanguliza maslahi ya Nchi mbele kuliko maslahi yake Binafsi.

Ndiyo maana hadi anafariki hujamsikia Mtoto wake hata mmoja ana Ukwasi licha ya Baba yao kuongoza Nchi hii miaka 24 🙌
Kwa hiyo mtoto wajo kutokuwa na ukwasi ndo sifa ya uongozi?

Nyie washamba na maskini ndo mmefanya nchi yetu kuwa nyuma sana na mawazo yenu mfu hayo
 
Sasa hayo maswali yako sisi kama Tanzania yanatuhusu nini?

Si muende mkamuulize Museveni?

Yaani how comes watanzania tusumbuliwe na tweet ya museveni inayohusu wawekezaji wanaoenda kuwekeza Uganda?
Tulia ww.

Nimekupa uchague speculation gani Unataka. Nishasema ni Fupa tu. Hata hivyo unachokifanya hapa ni kubadilisha hoja na mada husika.
Pameulizwa(amedai) kama Raisi amevunja katiba? Sasa kwavile maudhui hayajatosheleza ushahidi wa madai hayo, siwezi nikaongelea hilo, however, kuhusu
Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!
.....Lijibiwe.

au na hilo akaulizwe M7?
 
Kuna shida gani ikiandiwa ujumbe kutoka Tanzania?

Hiyo ni lugha tu na maamuzi ya mwandishi. Sio hoja ya msingi. Kama una swali nenda Kampala kamuulize Museveni
Shida ipo kwenye tafsiri. Kama ingekuwa ni ujumbe wa kampuni, ingetajwa hiyo kampuni pamoja na cheo cha huyo mtoto wa Samia.
 
Museven anasema ameenda kama mwakilishi kiongozi wa ujumbe wa Serikali kuzungumzia masuala ya nishati ambayo yanafall wizara ya nishati. Kama yeye siyo kiongozi wa hiyo Wizara waseme kaenda kama nani huko serikalini
Tatizo ni lugha kama sio ushabiki mandazi.
 
Rais Mseven wa Uganda amekutana na ujumbe wa serikali ya Tanzania ambao umeongozwa na mtoto wa wa kiume wa Rais Samia.

Uzuri wa taarifa hii imethibitishwa rasmi na ofisi ya Mseveni mwenyewe kupitia akaunti ya raisi.

Swali- mtoto huyu wa rais wetu,ana cheo gani serikalini?!!

Kama taarifa hii isingetolewa na Mseveni,tungetangaziwa na ofisi gani huku Tanzannia?!!

Swali la kujiuliza pia,mambo mangapi mtoto huyu amekua ameyafanya kwa kutumia kodi za Taifa na pasi na taarifa kuwekwa wazi kwa umma?!!

Ni wazi kua mtoto huyu anafanya haya kwa ruksa ya Rais Samia ambae ni mzazi wake,je huu sio uvunjaji wa katiba?!!

View attachment 2715337View attachment 2715338View attachment 2715339
Ccm wanavunja katiba na cha kuwafanya hamna
 
Kwa hiyo mtoto wajo kutokuwa na ukwasi ndo sifa ya uongozi?

Nyie washamba na maskini ndo mmefanya nchi yetu kuwa nyuma sana na mawazo yenu mfu hayo
Kwahiyo unabariki wizi wa Viongozi wetu Mkuu?

Hivi una kuwa Rais alafu baada ya utawala wako unamiliki bilioni kadhaa Benki, utasema umepata kwa mshahara gani?

Mkuu, please come to your sense, usihalalishe Ufisadi Mkuu
 
Kwahiyo unabariki wizi wa Viongozi wetu Mkuu?

Hivi una kuwa Rais alafu baada ya utawala wako unamiliki bilioni kadhaa Benki, utasema umepata kwa mshahara gani?

Mkuu, please come to your sense, usihalalishe Ufisadi Mkuu
Kuna wizi gani hapo?

Au unajiskia tu raha kutamka neno Wizi?
 
Back
Top Bottom